Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
NrongaUpo Machame ipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NrongaUpo Machame ipi
Very stupid.... Mi nadhani watanganyika wengi wanafikiria kupitia utumbo mpana, SI kichwa. Yaani CCM Iko in Demolition mode na watu wanafurahia. CDM ife watu wafanye sherehe iwatoke.stupid, you are stupid, hopeless
uko sahihiVery stupid.... Mi nadhani watanganyika wengi wanafikiria kupitia utumbo mpana, SI kichwa. Yaani CCM Iko in Demolition mode na watu wanafurahia. CDM ife watu wafanye sherehe iwatoke.
Kazi ya CCM imeisha, walivyoiba na kututesa na kutuua inatosha.
Tunataka mabadiliko na kiongozi sahihi kuwa captain wa meli hii ni Mbowe kwa Sasa.
Wewe ndio mjinga.stupid, you are stupid, hopeless
maaana ya mlozi ni nini kiongozi ?yaani kama wewe sio mchawi, basi ni mlozi
Ushahidi? wa hayo uliyoyaandkaWewe ndio mjinga.
Unapambana na watu mtandaoni ilhali viongozi wako wanashiba ccm🤣🤣🤣
Mbowe akiwana tunavyomtetea anacheeeka🤣🤣🤣
Unafahamu kuwa :Ushahidi? wa hayo uliyoyaandka
Porojo..!!Unafahamu kuwa :
1. Mbowe
2. Msigwa
3. Lissu
Wote waliitwa Iringa kwa asasi, mdipo Mbowe na Msigwa wakapewa 300m kila mmoja ma Lissu akagoma?
Na akatoka hadharani kusema mamaAbdul anaharibu uchaguzi wa ndani kwa kumwaga pesa?
Unajua kuwa Msigwa alipewa pesa apange safu yake kanda ya kusini kabla hajadondoshwa?
Uko gizani sana wewe
Tumejaaliwa ujinga mwingi sana Watanzania.Porojo..!!
Hizo pesa tumekula wengine MekuUshahidi? wa hayo uliyoyaandka
Upumbavu mtupuUncle ningeshangaa kama ungekata tamaa na kuiacha Saccos yetu mikononi mwa wavamizi wasiojua tulipo itoa.
Babu Mtei, mzee Ndessamburo aka Ndessa Pesa walikukabidhi huo mradi uulinde kwa wivu mkubwa.
Niwazi uncle Christmas itakuwa safi sana. Tukutane Hai, wamachame tuna jambo letu.
Jinyonge tu. Anzisha chama chako, kwani wewe hutaki mali? Uzuri Mbowe anashindanishwa na wanachama wengine, waache wanachadema waamue kiongozi anayewafaa na sio wewe mwana uvccm.Ile ni mali ya familia, tuacheni kabisa
Migombani tunaenda Mkuu 🤭Eleweka sasa nikufanyie booking hapa
Kabisa unaona kwenye hii dunia ushamaliza kila kitu 😀😀Kuogelea kwenye maji ya baridi kama yale ni bonge moja ya therapy