Hongera Uncle Mbowe. Wachaga tumetumwa kutafuta hela sio sifa

stupid, you are stupid, hopeless
Very stupid.... Mi nadhani watanganyika wengi wanafikiria kupitia utumbo mpana, SI kichwa. Yaani CCM Iko in Demolition mode na watu wanafurahia. CDM ife watu wafanye sherehe iwatoke.
Kazi ya CCM imeisha, walivyoiba na kututesa na kutuua inatosha.
Tunataka mabadiliko na kiongozi sahihi kuwa captain wa meli hii ni Mbowe kwa Sasa.
 
uko sahihi
 
Nilivyoona yericko anakuja na shutuma la Lissu Jana Boni yai anatupa vijembe Mbowe anatabasamu nikasema baaaasi mwamba haachii madaraka
 
stupid, you are stupid, hopeless
Wewe ndio mjinga.
Unapambana na watu mtandaoni ilhali viongozi wako wanashiba ccm🤣🤣🤣
Mbowe akiwana tunavyomtetea anacheeeka🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣

Wape ukweli though mchungu kwao

😂😂😂😂😂😂
 
Wewe ndio mjinga.
Unapambana na watu mtandaoni ilhali viongozi wako wanashiba ccm🤣🤣🤣
Mbowe akiwana tunavyomtetea anacheeeka🤣🤣🤣
Ushahidi? wa hayo uliyoyaandka
 
Ushahidi? wa hayo uliyoyaandka
Unafahamu kuwa :
1. Mbowe
2. Msigwa
3. Lissu
Wote waliitwa Iringa kwa asasi, mdipo Mbowe na Msigwa wakapewa 300m kila mmoja ma Lissu akagoma?

Na akatoka hadharani kusema mamaAbdul anaharibu uchaguzi wa ndani kwa kumwaga pesa?
Unajua kuwa Msigwa alipewa pesa apange safu yake kanda ya kusini kabla hajadondoshwa?

Uko gizani sana wewe
 
Porojo..!!
 
Upumbavu mtupu
 
Ile ni mali ya familia, tuacheni kabisa
Jinyonge tu. Anzisha chama chako, kwani wewe hutaki mali? Uzuri Mbowe anashindanishwa na wanachama wengine, waache wanachadema waamue kiongozi anayewafaa na sio wewe mwana uvccm.
 
Jinyonge tu. Anzisha chama chako, kwani wewe hutaki mali? Uzuri Mbowe anashindanishwa na wanachama wengine, waache wanachadema waamue kiongozi anayewafaa na sio wewe mwana uvccm.
Toeni hela za uanachama tuje tuzile tar 25 nyumbu nyie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…