MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Hii ndio ilikua mara yangu ya kwanza kushiriki mbio hizi ambazo huwahusisha watu wa matabaka yote na hutenganishwa kulingana na umbali, kuna wanaokimbia 42km, wengine 21.1km na hata kunao wa 10km na pia kilomita 2km za wakurungezi na viongozi.
Sikujua huwa raha hivi, kwanza aina za muziki, aisei ngoma zilizorindima wakati tunaanza full mzuka mamaee. Nashauri waandalizi wawe wanaweka hizo speakers baada ya kila kilomita mbili yaani inakuwa mwendo wa mdundo hadi mwisho.
NItajitahidi niwe nashiriki zote hata zile hufanyika Kilimanjaro, Dar na Zanzibar.
Hongera sana kwa walioshiriki, Wakenya na wana Afrika Mashariki, na dunia, maana kuna watu wametokea Ulaya kuja kushiriki tu na kugeuza, halafu special big up kama kunao JF members ambao waliokuwepo.
Na hatimaye hongera ziwaendee mijitu ya wanariadha ambao walimaliza ndani ya muda mfupi, yaani wakati sisi wengine miili bado haijazoea tupo kwenye kilomita tano, mijitu inachana mbuga kwenye kilomita 30, hao watu sijui kama wameoa au kuolewa na huwa vipi kwenye mechi zao za vitandani, haswa jamii ya Wakale...hehehehe
Washindi hawa hapa
Elisha Kiprop - 42km - 2:17
Josephine Chepkoech - 42km - 2:35
Mathew Kiprotich - 21km - 1:04:57
Valerie Aiyabei - 21 km
Walioshiriki walizidi 18,000 kwa idadi
Haya hapa matokeo yangu kwa kutumia Strava app
Sikujua huwa raha hivi, kwanza aina za muziki, aisei ngoma zilizorindima wakati tunaanza full mzuka mamaee. Nashauri waandalizi wawe wanaweka hizo speakers baada ya kila kilomita mbili yaani inakuwa mwendo wa mdundo hadi mwisho.
NItajitahidi niwe nashiriki zote hata zile hufanyika Kilimanjaro, Dar na Zanzibar.
Hongera sana kwa walioshiriki, Wakenya na wana Afrika Mashariki, na dunia, maana kuna watu wametokea Ulaya kuja kushiriki tu na kugeuza, halafu special big up kama kunao JF members ambao waliokuwepo.
Na hatimaye hongera ziwaendee mijitu ya wanariadha ambao walimaliza ndani ya muda mfupi, yaani wakati sisi wengine miili bado haijazoea tupo kwenye kilomita tano, mijitu inachana mbuga kwenye kilomita 30, hao watu sijui kama wameoa au kuolewa na huwa vipi kwenye mechi zao za vitandani, haswa jamii ya Wakale...hehehehe
Washindi hawa hapa
Elisha Kiprop - 42km - 2:17
Josephine Chepkoech - 42km - 2:35
Mathew Kiprotich - 21km - 1:04:57
Valerie Aiyabei - 21 km
Walioshiriki walizidi 18,000 kwa idadi
Haya hapa matokeo yangu kwa kutumia Strava app