Ni kweli....
Wakuu baada ya zzk kushinda kesi yake leo kupitia kwa wakili wake kijana albert msando aliyemshinda wakili maarufu tundu lissu nimegundua kumbe chadema ina hazina kubwa ya wanasheria, huyu wakili alikuwa hajulikan kabisa lakin leo kadhihirisha uwezo wake kwa wale waliokuwa wanadhan kuwa tundu lissu hashindwi kesi ila si ajabu kwa chadema ukasikia wanamshughulikia kwa kosa la kukidharirisha chama mahakamani.
My take: siku za albert msando zinahesabika chadema, kama anataka kuendelea na siasa labda kwa chama kingine na si chadema
Albert Msando hajashinda lolote, hata yeye anajua! Walioshinda ni CCM waliomwambia akafungue kesi, watafanya yaliyosalia. Hii siyo siri! Hata jiwe lingekuwa wakili, lingeshinda! The Judiciary of Tanzania is not yet independent! NOT YET UHURU! However, freedom for the Judiciary is coming! Kila lenye mwanzo lina mwisho! It is just a matter of time!
Watu bana!
Yaani hii nayo ni kesi ya kumpandisha mtu chati?
Wengine tokea awali tulishaona kulikuwa hakuna kesi yoyote hapo. Hata kama Zitto angejitetea mwenyewe angepata tu huo 'ushindi' anaodaiwa kuupata.
Lakini kwa vile baadhi ya watu wanasukumwa na hisia zaidi, misukumo hiyo ya hisia imeghubika kabisa uwezo wao wa kutafakari mambo kwa kutumia akili/ vichwa vyao.
Wengine tulishangaa hata kwa nini hiyo kesi ilichukua muda ambao ilichukua. Ingekuwa mimi ndo hakimu/jaji hii ingemalizwa siku ile ile ya kwanza tu.
Sasa shauri jepesi kama hilo eti nalo ndo la kumpadisha mtu chati! Mna viwango vya chini kweli nyie watu.
...."Miafrika Ndivyo Tulivyo"....
ccm jipange sawasawa harusi ta zzk na bint wa jakaya imeiva
Hii kesi hata ungepewa umtetee Zitto ungeshinda,tatizo watu wanaendekeza ushabiki wanasahau facts.Kibaya zaidi ilikuwa vita ya Chadema vs Chadema lakini still wanachama wa Chadema wanaona wameonewaYou got that right.
Watu wanavyompandisha chati huyo Msando utadhani alikuwa anamtetea mteja wake katika 'trial of the century' ala Johnnie Cochran.
Zitto noooooooooooooooooooooooooooooooommmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmaaaaaaaaaa!!!!!!!
Tunakushukuru kijana mwenzetu mpenda haki na mtetezi albert msando. umewabwaga hao mawakili maarufu ambao wanachanganya sheria according to jk.
maliza shughuli ndani njoo nje tukubebe mpaka kokote uendako.
Msando noooooooooooooooooooooooooooooooooooommmmmmmmmmmmmmmmmmmaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!
kweli leo nimeamini maneno ya jk kwamba lissu anachanganya sheria. hajui hata jambo dogo kwamba wakili hawezi pia kuwa shahidi.
He's well known to legal, political and bussiness circles.
Kuna watu walikuwa wanajitahidi sana kuja hapa Jf na trash talk kuhusu utendaji wa kazi zake.
Waulize hao kwenye picha wanafahamu vizuri kazi zake ndani ya CHADEMA.
Mapambano bado yanaendelea......
Mwenyekiti wa Chadema,Freeman Mbowe na Mbunge wa Arusha mjini,Godbless Lema wakitoka kwenye kituo kikuu cha polisi mkoa wa Arusha baada ya kujisalimisha na kuhojiwa kushoto ni wakili wao Albert Msando na kulia ni mbunge wa Musoma Mjini,Vincent Nyerere