Hongera Yanga kwa kupambana mziki wa Simba sio mchezo

Hongera Yanga kwa kupambana mziki wa Simba sio mchezo

Yanga ina matatizo mawili
1.Yanga huwa wanaingia uwanjani na matokeo ya ushindi,mambo yanapowageukiwa lawama zinaenda kwa Refa
2.Yanga huwa hawakubali kupigiwa Penalti na penalti wakipigiwa basi Refa kawaonea ila wao wakipewa penalti ni halali

Sent using Jamii Forums mobile app
Foul imechezwa nje ya box unawekaje tuta
 
Kama sii kondom saa hii yanga keshaanza kutema mate.
 
Back
Top Bottom