mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,707
Hakika nawapongeza sana wachezaji wa Yanga kwa kupambana kwa jasho na damu kwanu muziki wa Mabingwa wa Nchi sio wa Kitoto.Pia wamewanusuru Viongozi wao kutimuliwa Uongozini endapo wangepata kichapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app