CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Habari wakuu.
Mimi ni mpenzi mkubwa sana wa mpira wa Miguu.
Nikaanza kuipenda Simba nikiwa na miaka 7 Mwaka 2003.
NAOMBA NIWAPONGEZE YANGA KWA KUANDAA TAMASHA LA KUICHEKA SIMBA KWA SABABU ZIFUATAZO.
1. CHANZO KIPYA CHA MAPATO.
Yanga wametumia Fursa kutoka utani WA jadi wa kugawana wake BADALA yake uwe utani WA kuingiza Fedha. Kukodisha ukumbi kama JNICC ni kuingiza Fedha na watazamaji wengi.
2. KUPATA WANACHAMA NA MASHABIKI WAPYA.
yanga watapata mashabiki na WANACHAMA WAPYA kutoka Katika Fani ya uchekeshaji ambao wataweza kulipia Kadi za uanachama na kuongeza idadi ya WANACHAMA Na mashabiki WAPYA
3. KUIONGEZEA UMAARUFU TIMU, BLAND YA YANGA NA KUUTANGAZA.
yanga watapata UMAARUFU zaidi kwa kuteka mitandao na media mbali mbali kwenye siku ya KUICHEKA Simba.
4. KUUZA BIDHAA MBALI MBALI, KUUZA BIDHAA kama scaff, kofia, jersey nk
HONGERA SANA MTANI
KUNI YA AKIBA HUWA INACHEKA INAYO UNGUA....
Mimi ni mpenzi mkubwa sana wa mpira wa Miguu.
Nikaanza kuipenda Simba nikiwa na miaka 7 Mwaka 2003.
NAOMBA NIWAPONGEZE YANGA KWA KUANDAA TAMASHA LA KUICHEKA SIMBA KWA SABABU ZIFUATAZO.
1. CHANZO KIPYA CHA MAPATO.
Yanga wametumia Fursa kutoka utani WA jadi wa kugawana wake BADALA yake uwe utani WA kuingiza Fedha. Kukodisha ukumbi kama JNICC ni kuingiza Fedha na watazamaji wengi.
2. KUPATA WANACHAMA NA MASHABIKI WAPYA.
yanga watapata mashabiki na WANACHAMA WAPYA kutoka Katika Fani ya uchekeshaji ambao wataweza kulipia Kadi za uanachama na kuongeza idadi ya WANACHAMA Na mashabiki WAPYA
3. KUIONGEZEA UMAARUFU TIMU, BLAND YA YANGA NA KUUTANGAZA.
yanga watapata UMAARUFU zaidi kwa kuteka mitandao na media mbali mbali kwenye siku ya KUICHEKA Simba.
4. KUUZA BIDHAA MBALI MBALI, KUUZA BIDHAA kama scaff, kofia, jersey nk
HONGERA SANA MTANI
KUNI YA AKIBA HUWA INACHEKA INAYO UNGUA....