Hongera Yanga mmejipambanua vyema

Hongera Yanga mmejipambanua vyema

The Supreme Conqueror

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2017
Posts
458
Reaction score
1,280
Kwa matokeo waliyoyapata Yanga jana na aina ya mpira waliocheza ni wazi sasa Yanga baada ya misimu 2 mbele itakua katika daraja moja zaidi ya mtani wake Simba katika michuano ya Kimataifa.

Yanga itanufaika zaidi kwasababu mchakato wake wa mabadiliko ilikwisha kamilika hivyo ni jukumu la Viongozi waliopata dhamana kuongoza klabu kutengeneza jambo kubwa litakalo ishi tofauti na Simba ambao mchakato wa mabadikiko ya Uongozi haujakamilika.
 
Mpaka Muda huu tunapoenda kwenye mitambo tayari Kuna Nyuzi Zaidi' Ya 10 Za namna hii......!

Ama Kweli Kutinga Makundi Ni Mafanikio Hata kama ni Confederation Cup...!

Kipya Kinyemi...!
 
Mpaka Muda huu tunapoenda kwenye mitambo tayari Kuna Nyuzi Zaidi' Ya 10 Za namna hii......!

Ama Kweli Kutinga Makundi Ni Mafanikio Hata kama ni Confederation Cup...!

Kipya Kinyemi...!
Yanga imefuzu makusudi ili wawafunge hiyo midomo yenu.
 
Back
Top Bottom