Naipongeza sana timu yangu ya yanga kwa mchezo Wa jana. Pamoja na mapito mazito ambayo timu inapitia na kufanya usajili Wa kawaida sana tofauti na nyumba ya pili ambao wamefanya usajili Wa kufulu lakini matokeo ya dakika 90 yalikuwa 0-0. Naishukuru sana yanga kweli tuna timu sio ajabu kubaki na kombe mwaka huu. Mchezo Wa jana ambao hata okwi alikubali kwamba yanga ni timu nzuri umeleta heshima mtaani...congrats yanga!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app