Hongera Yeriko Nyerere kwa kutwaa Tuzo

Hongera Yeriko Nyerere kwa kutwaa Tuzo

PILSNER

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2018
Posts
437
Reaction score
755
(hapa inakaaga salamu)

Itoshe tu kusema ulistahiri TUZO hii. Tunaofuatilia kazi zako ni wengi kuliko idadi unayo kadiria.

Umepeperusha bendera ya Tanzania

====

Screenshot 2023-11-23 at 22-51-06 Yericko Nyerere (@yerickonyerere) Instagram profile.png

Leo nilifika mbele ya Wizara ya Wizara ya sanaa ambapo Wizara iliandaa hafla ya kuwapongeza Watanzania waliotwaa tuzo za Kimataifa za Zikomoawards. Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Mh Gerson Msigwa alikuwa ndie mgeni rasmi aliyeongoza pongezi za kiserikali kwa Wasaani na Wadau wengine.

Tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Afrika imefika Serikali rasmi, Na sasa Serikali ya Tanzania imetambua kwamba Mwandishi Bora wa Vitabu Afrika anatoka Mbutu Block E. Kigamboni.

Mshindi wa Tuzo ya Mwandishi Bora wa Vitabu Barani Afrika ni YERICKO YOHANESY NYERERE kutoka TANZANIA.

Sifa na heshima ni za Watanzania!

Idumu Mizimu!
 
Hongera zake sana. Naomba title za vitabu vyake nivitafute nivisome please.
 
Hongera zake sana. Naomba title za vitabu vyake nivitafute nivisome please.
Kuna kimoja anakipigia chapuo kinaitwa "UJASUSI WA KIDOLA NA KIUCHUMI" kama sijakosea Tittle.

Mtunzi ni Mwandishi mbobevu Yericko Nyerere.
 
Kuna kimoja anakipigia chapuo kinaitwa "UJASUSI WA KIDOLA NA KIUCHUMI" kama sijakosea Tittle.

Mtunzi ni Mwandishi mbobevu Yericko Nyerere.
asante, hiki nakijua nasoma extracts zake anapokuwa anakitangaza
 
  • Thanks
Reactions: K11
Back
Top Bottom