Hongereni kwa Kuitafuta Furaha ya Makundi CAFCL kwa Miaka 25, ila msidanganyane kuwa huku ni Kwepesi kama mlikokubahatisha CAFCC Final

Hongereni kwa Kuitafuta Furaha ya Makundi CAFCL kwa Miaka 25, ila msidanganyane kuwa huku ni Kwepesi kama mlikokubahatisha CAFCC Final

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Huku kunahitaji Uzoefu mkubwa mno na hapa wala msione Aibu kujifunza kutoka kwa Simba SC hata kama huishia Robo CAFCL mara kwa mara.

Na kuna Uwezekano hata katika Pot yenu ya Makundi mkapangwa na Mamelodi Sundown FC, Esperance Du Tunis na Pyramids FC hivyo hapa sijui mtatokea wapi japo mnatoa sana Mikafara ya Hatari na mikubwa mikubwa isiyoelezeka hapa.

Ila Hongereni sana na nawaomba mtunzeni sana Clement Mzize na mwambieni asilewe Sifa kama Wengine kwani naona a bright future Kwake na anazidi tu Kuimarika.

Ya Kesho ( yanayonihusu Chamazi ) na Wazambia siyaongelei leo kwani kuna Upuuzi umefanyika hivyo nasubiria Kesho litokee la Kutokea ili niwanyooshe Wasaliti na Wanafiki tulionao SSC.
 
Huku kunahitaji Uzoefu mkubwa mno na hapa wala msione Aibu kujifunza kutoka kwa Simba SC hata kama huishia Robo CAFCL mara kwa mara.

Na kuna Uwezekano hata katika Pot yenu ya Makundi mkapangwa na Mamelodi Sundown FC, Esperance Du Tunis na Pyramids FC hivyo hapa sijui mtatokea wapi japo mnatoa sana Mikafara ya Hatari na mikubwa mikubwa isiyoelezeka hapa.

Ila Hongereni sana na nawaomba mtunzeni sana Clement Mzize na mwambieni asilewe Sifa kama Wengine kwani naona a bright future Kwake na anazidi tu Kuimarika.

Ya Kesho ( yanayonihusu Chamazi ) na Wazambia siyaongelei leo kwani kuna Upuuzi umefanyika hivyo nasubiria Kesho litokee la Kutokea ili niwanyooshe Wasaliti na Wanafiki tulionao SSC.
Mkuu Genta, hata CAFCC ulisema hivi hivi. Mkuu namtafuta Ile thread yako.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kama tulivyowafundisha msimu uliopita kutinga fainali kombe shirikisho (sio abiola cup), ndivyo tunavyoenda kuwafundisha kufika nusu fainali Cafcl na huu ni mwanzo tu.

Naskia hapo Azam complex ulinzi ni mkali hawaruhusu kufukia vitu wala kupulizia pafyum 😂😂 Mpaka mseme
 
Huku kunahitaji Uzoefu mkubwa mno na hapa wala msione Aibu kujifunza kutoka kwa Simba SC hata kama huishia Robo CAFCL mara kwa mara.

Na kuna Uwezekano hata katika Pot yenu ya Makundi mkapangwa na Mamelodi Sundown FC, Esperance Du Tunis na Pyramids FC hivyo hapa sijui mtatokea wapi japo mnatoa sana Mikafara ya Hatari na mikubwa mikubwa isiyoelezeka hapa.
88
Ila Hongereni sana na nawaomba mtunzeni sana Clement Mzize na mwambieni asilewe Sifa kama Wengine kwani naona a bright future Kwake na anazidi tu Kuimarika.

Ya Kesho ( yanayonihusu Chamazi ) na Wazambia siyaongelei leo kwani kuna Upuuzi umefanyika hivyo nasubiria Kesho litokee la Kutokea ili niwanyooshe Wasaliti na Wanafiki tulionao SSC.
Usianze utetezi uchwara,tumekuzidini katika Angle zote,mambo ya ulozi tumemiachieni Makolo FC,wananchi ni football science mwanzo mwisho,ulozi na vitimbi vyake tumemiachieni ,🦁kolo FC🤸🤸😀
 
Huku kunahitaji Uzoefu mkubwa mno na hapa wala msione Aibu kujifunza kutoka kwa Simba SC hata kama huishia Robo CAFCL mara kwa mara.

Na kuna Uwezekano hata katika Pot yenu ya Makundi mkapangwa na Mamelodi Sundown FC, Esperance Du Tunis na Pyramids FC hivyo hapa sijui mtatokea wapi japo mnatoa sana Mikafara ya Hatari na mikubwa mikubwa isiyoelezeka hapa.

Ila Hongereni sana na nawaomba mtunzeni sana Clement Mzize na mwambieni asilewe Sifa kama Wengine kwani naona a bright future Kwake na anazidi tu Kuimarika.

Ya Kesho ( yanayonihusu Chamazi ) na Wazambia siyaongelei leo kwani kuna Upuuzi umefanyika hivyo nasubiria Kesho litokee la Kutokea ili niwanyooshe Wasaliti na Wanafiki tulionao SSC.
wivu mbaya
 
Naona hamjiamini kabisa kuhusu kesho!!
Hesabu zinakataa na huenda Kesho tukachapana sana Bakora kuanzia Chamazi hadi Kariakoo Klabuni na hata humu ( hapa ) JamiiForums.

Mwenyezi Mungu asaidie tu tushinde hiyo Kesho au Kosa la Kiufundi ( la Nje ya Uwanja ) lililofanywa lirekebishwe Usiku huu ( yaani muda huu hadi Saa 10 za Alfajiri )

Sitaki niulizwe ni nini. Ni Siri ya Kambi.
 
Kama tulivyowafundisha msimu uliopita kutinga fainali kombe shirikisho (sio abiola cup), ndivyo tunavyoenda kuwafundisha kufika nusu fainali Cafcl na huu ni mwanzo tu.

Naskia hapo Azam complex ulinzi ni mkali hawaruhusu kufukia vitu wala kupulizia pafyum 😂😂 Mpaka mseme
Daah😂
 
Back
Top Bottom