Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Mkuu,nishavuka mto nakusubiriaLikukute zaidi nawe pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu,nishavuka mto nakusubiriaLikukute zaidi nawe pia.
Leo Mimi nina wasiwasi sana naweza Kuzama kabisa Mtoni na kuishia hapo.Mkuu,nishavuka mto nakusubiria
Tumemiachieni = unamaanisha nini mkuu, kuwa serious banaUsianze utetezi uchwara,tumekuzidini katika Angle zote,mambo ya ulozi tumemiachieni Makolo FC,wananchi ni football science mwanzo mwisho,ulozi na vitimbi vyake tumemiachieni ,🦁kolo FC🤸🤸😀
Una chembe chembe za unabii, nashauri ufungue kanisaKesho muda kama huu makolo wote watakuwa wanalaumu usajili wa Ayubu...
hizo timu ulizotaja hapo tukipangwa nazo makundi tunalamba points zote 18....demn shi..tHuku kunahitaji Uzoefu mkubwa mno na hapa wala msione Aibu kujifunza kutoka kwa Simba SC hata kama huishia Robo CAFCL mara kwa mara.
Na kuna Uwezekano hata katika Pot yenu ya Makundi mkapangwa na Mamelodi Sundown FC, Esperance Du Tunis na Pyramids FC hivyo hapa sijui mtatokea wapi japo mnatoa sana Mikafara ya Hatari na mikubwa mikubwa isiyoelezeka hapa.
Ila Hongereni sana na nawaomba mtunzeni sana Clement Mzize na mwambieni asilewe Sifa kama Wengine kwani naona a bright future Kwake na anazidi tu Kuimarika.
Ya Kesho ( yanayonihusu Chamazi ) na Wazambia siyaongelei leo kwani kuna Upuuzi umefanyika hivyo nasubiria Kesho litokee la Kutokea ili niwanyooshe Wasaliti na Wanafiki tulionao SSC.
ushauri huu hamtakiwi kutupatia ninyi, yafaa tupokee toka kwa watu wenye kiwango bora kama sisi. yanga sasaivi ipo juu kila timu africa inaiogopa. huu ndio ukweli. simba yafaa mjipange msije kututia aibu.Huku kunahitaji Uzoefu mkubwa mno na hapa wala msione Aibu kujifunza kutoka kwa Simba SC hata kama huishia Robo CAFCL mara kwa mara.
Na kuna Uwezekano hata katika Pot yenu ya Makundi mkapangwa na Mamelodi Sundown FC, Esperance Du Tunis na Pyramids FC hivyo hapa sijui mtatokea wapi japo mnatoa sana Mikafara ya Hatari na mikubwa mikubwa isiyoelezeka hapa.
Ila Hongereni sana na nawaomba mtunzeni sana Clement Mzize na mwambieni asilewe Sifa kama Wengine kwani naona a bright future Kwake na anazidi tu Kuimarika.
Ya Kesho ( yanayonihusu Chamazi ) na Wazambia siyaongelei leo kwani kuna Upuuzi umefanyika hivyo nasubiria Kesho litokee la Kutokea ili niwanyooshe Wasaliti na Wanafiki tulionao SSC.
Mpaka sasa aliye bahatisha kaonekana na uzuri nyie wenyewe humu mmeanza kupiga kelele.Huku kunahitaji Uzoefu mkubwa mno na hapa wala msione Aibu kujifunza kutoka kwa Simba SC hata kama huishia Robo CAFCL mara kwa mara.
Na kuna Uwezekano hata katika Pot yenu ya Makundi mkapangwa na Mamelodi Sundown FC, Esperance Du Tunis na Pyramids FC hivyo hapa sijui mtatokea wapi japo mnatoa sana Mikafara ya Hatari na mikubwa mikubwa isiyoelezeka hapa.
Ila Hongereni sana na nawaomba mtunzeni sana Clement Mzize na mwambieni asilewe Sifa kama Wengine kwani naona a bright future Kwake na anazidi tu Kuimarika.
Ya Kesho ( yanayonihusu Chamazi ) na Wazambia siyaongelei leo kwani kuna Upuuzi umefanyika hivyo nasubiria Kesho litokee la Kutokea ili niwanyooshe Wasaliti na Wanafiki tulionao SSC.