Hongereni kwa Kuitafuta Furaha ya Makundi CAFCL kwa Miaka 25, ila msidanganyane kuwa huku ni Kwepesi kama mlikokubahatisha CAFCC Final

Usianze utetezi uchwara,tumekuzidini katika Angle zote,mambo ya ulozi tumemiachieni Makolo FC,wananchi ni football science mwanzo mwisho,ulozi na vitimbi vyake tumemiachieni ,🦁kolo FC🤸🤸😀
Tumemiachieni = unamaanisha nini mkuu, kuwa serious bana
 
hizo timu ulizotaja hapo tukipangwa nazo makundi tunalamba points zote 18....demn shi..t
 
ushauri huu hamtakiwi kutupatia ninyi, yafaa tupokee toka kwa watu wenye kiwango bora kama sisi. yanga sasaivi ipo juu kila timu africa inaiogopa. huu ndio ukweli. simba yafaa mjipange msije kututia aibu.
 
Mpaka sasa aliye bahatisha kaonekana na uzuri nyie wenyewe humu mmeanza kupiga kelele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…