johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwaya ya Mtakatifu Kizito kutoka Mabibo Makuburi nchini Tanzania imealikwa na Tume ya Uchaguzi ya Kenya ( IEBC ) kwa ajili ya Kuinjilisha wakati wananchi wakipiga kura
Hungeremi sana kwa kuifanya Tanzania kuwa Baraka kwa nchi nyingine
Mungu ni mwema wakati wote
Hungeremi sana kwa kuifanya Tanzania kuwa Baraka kwa nchi nyingine
Mungu ni mwema wakati wote