Nzie ya Mana
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,515
- 1,730
Mwambie ukweli huyo ndezi!Wewe unatakiwa kukamatwa na kunyongwa. Ulishiriki dhuruma za Magufuli kwa Ndugu yetu Erick Kabendera. Ipo siku wewe au familia yako watalipa machozi ya Erick kwa kutomzika mama yake. Usipotubu hadharani una muda mchache sana wa kuwepo.
Kualikwa Kwaya ya Katoliki Mt. Kizito ulikua ujumbe mzito kwa Dr Ruto. Pole yake.Mkuu Yohana Mbatizaji, johnthebaptist , kwanza asante kwa taarifa hii, ila haijatulia!. Kwanza Kwaya vya Mt. Kizito ni kutoka Mabibo Makuburi na sio Mbezi Beach!. Pili Ingependeza zaidi kama ungetudadavulia just a little bit more na kutusindikizia kwa kutupia ka clip wakiinjilisha uchaguzi wa Kenya, seeing is believing.
Sisi huku hatuchanganyi dini na siasa, hivyo Tume yetu ya Uchaguzi haiwezi kutumia kwaya ya dini yoyote kuhamasisha uchaguzi wetu.
P
Huyo ni mmoja wa mashahidi wafia dini wa Uganda waliochomwa kwenye tanuri la moto huku wakiwa wanajiona, kwenye karne ya 19 (1800's) na Kabaka wa wakati huo wa Buganda Kingdom!Mtakatifu kizito?
Wana wimbo wao unaitwa Tunakuja Kenya. Ukiutafuta youtube utaupata. Ndani yake umeeleza kila kitu.Mkuu Yohana Mbatizaji, johnthebaptist , kwanza asante kwa taarifa hii, ila haijatulia!. Kwanza Kwaya vya Mt. Kizito ni kutoka Mabibo Makuburi na sio Mbezi Beach!. Pili Ingependeza zaidi kama ungetudadavulia just a little bit more na kutusindikizia kwa kutupia ka clip wakiinjilisha uchaguzi wa Kenya, seeing is believing.
Sisi huku hatuchanganyi dini na siasa, hivyo Tume yetu ya Uchaguzi haiwezi kutumia kwaya ya dini yoyote kuhamasisha uchaguzi wetu.
P
Asante Mkuu Tate Mkuu, data za kushiba hizi.Wana wimbo wao unaitwa Tunakuja Kenya. Ukiutafuta youtube utaupata. Ndani yake umeeleza kila kitu.
Kimsingi walienda kuhamasisha amani, na kuiepusha nchi na yale machafuko ya uchaguzi wa mwaka 2017, kupitia uimbaji!
Kwa nini Mt. Kizito Makuburi? Ni kwa sababu Wakristu wengi wa Kenya kutoka dhehebu la RC ni wapenzi wakubwa wa nyimbo zilizotungwa na watunzi kutoka Tanzania.
Lakini pia wanazikubali sana kwaya nyingi za Kitanzania, ikiwemo hii ya Mt. Kizito. Thats why wakaamua kuwaalika kwenye hilo tamasha la kuombea amani wakati wa uchaguzi.
Hakunaga Waislam huko Kenya?Wana wimbo wao unaitwa Tunakuja Kenya. Ukiutafuta youtube utaupata. Ndani yake umeeleza kila kitu.
Kimsingi walienda kuhamasisha amani, na kuiepusha nchi na yale machafuko ya uchaguzi wa mwaka 2017, kupitia uimbaji!
Kwa nini Mt. Kizito Makuburi? Ni kwa sababu Wakristu wengi wa Kenya kutoka dhehebu la RC ni wapenzi wakubwa wa nyimbo zilizotungwa na watunzi kutoka Tanzania.
Lakini pia wanazikubali sana kwaya nyingi za Kitanzania, ikiwemo hii ya Mt. Kizito. Thats why wakaamua kuwaalika kwenye hilo tamasha la kuombea amani wakati wa uchaguzi.
Mimi kiukweli sijui.Hakunaga Waislam huko Kenya?
Pia kwa kuongezea Mt .Kizito ndiye alikuwa na umri mdogo kuliko mashahidi wengine wote waliochomwa moto.Wakati wanachomwa moto alikuwa na miaka 14 tu.Huyo ni mmoja wa mashahidi wafia dini wa Uganda waliochomwa kwenye tanuri la moto huku wakiwa wanajiona, kwenye karne ya 19 (1800's) na Kabaka wa wakati huo wa Buganda Kingdom!
Na walichomwa baada ya kukataa kuikana imani yao ya Kikatoliki, waliyoipokea kutoka kwa Wamisionari. Baadhi ya mashahidi wengine ambao baadaye walifanywa kuwa Watakatifu ni Mathias Mulumba, Charles Kagwa, Karol Lwanga, nk.
Tumsifu Yesu Kristu...... Milele Amina
huu mwandiko mbona kama wa genta aka popoma kwa kupitia moja ya username zake za dharula?.Kwa kuwa Mimi ni Mkatoliki niliye deep na mambo ya kanisa natamka kuwa iliyoalikwa Kenya kwenye uchaguzi ni Kwaya ya Mt Kizito ya Makuburi parish
Labda coincidence tu ya mwandiko, Mimi ni mtu separate kabisa Sina uhusiano na huyohuu mwandiko mbona kama wa genta aka popoma kwa kupitia moja ya username zake za dharula?.
Mbutaa ,kukesesa wandu ,wandu mmakiri ,masale nyi wanduu, sanganaaaMamdenyi, ke wawese masembo wa? Matondo mnu!
Ujinga wa kuenguliwa au wakukosea kujaza form?Kenya hawana Ujinga huo.
Enzi hizo Mabibo mikasi mikasi kweli sio Zama Hz videmu vifupiiii na Sura mpauko. Mlisomaga na Sylvia Bahame?miaka gani?. Mimi nimeishi Mabibo hostel 4 years 2003-2007.
P
Hivi Kaswida hazikuwepo pale Bomas!!??Kwaya ya Mtakatifu Kizito kutoka Mabibo Makuburi nchini Tanzania imealikwa na Tume ya Uchaguzi ya Kenya ( IEBC ) kwa ajili ya Kuinjilisha wakati wananchi wakipiga kura
Hungeremi sana kwa kuifanya Tanzania kuwa Baraka kwa nchi nyingine
Mungu ni mwema wakati wote
Tulikuwepo ila tuliimba huko nyuma ya jengo la Bomas.Hivi Kaswida hazikuwepo pale Bomas!!??
Umefafanua vizuri mkuu. Ni Andrea Kagwa na si Charles Kagwa.Huyo ni mmoja wa mashahidi wafia dini wa Uganda waliochomwa kwenye tanuri la moto huku wakiwa wanajiona, kwenye karne ya 19 (1800's) na Kabaka wa wakati huo wa Buganda Kingdom!
Na walichomwa baada ya kukataa kuikana imani yao ya Kikatoliki, waliyoipokea kutoka kwa Wamisionari. Baadhi ya mashahidi wengine ambao baadaye walifanywa kuwa Watakatifu ni Mathias Mulumba, Charles Kagwa, Karol Lwanga, nk.
Tumsifu Yesu Kristu...... Milele Amina
Nashukuru. Nimerekebisha tayari. Kitambo sana tangu nitoke Seminarini.Umefafanua vizuri mkuu. Ni Andrea Kagwa na si Charles Kagwa.