Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
itashuka mwakani Nchimbi atakapokosa ubunge mwaka huu,anawafadhili kila kitu na ela za kuhonga marefa anawapa,
kwa kifupi kupanda kwao daraja kumelazimishwa kama yaliyotokea kwa stend utd ni mambo ya siasa hakuna mpira wala nini.
Nilitamani sana Wanyalukolo warejee ligi kuu...
Hata hivyo hongera kwa Wanalizombe...
Simba na Yanga zitawashusha daraja tena hawa wakubwa wanasema Songea ni mbali hapafai kuchezwa ligi halafu hakuna ndege inaenda Songea.
Rufaa bado hazijajibiwa....
Wamepanda ndio, ila wasirudie mchezo wao walioufanya msimu ule wao na Polisi Dodoma kujitoa kwenye ligi ili Yanga wawe bingwa
Sina mengi zaidi ya kuwapongeza. Nyinyi ni kioo cha mkoa wetu wa Ruvuma kimichezo hasa kandanda. Majimaji mmepambana vya kutosha hatimaye mmerejea Ligi Kuu. Tunatarajia ushindani katika mapambano yenu hapo mwakani katika ligi kuu.
Msengwi sana valongo vangu!
Ila ruvuma ramani imekaa vibaya kutokea dar
Simba mwenyewe anashuka daraja,Ndo atamshusha majimaji?
We are going to stay, .
You can quote me on that
Usengwileeeee,
Tunahitaji pia support yenu mlioko mbali na huku!! Hasa kisheria!!