Hongereni Marais wote wa Tanzania kwa kutuheshimisha watu wa Mara katika teuzi za Taasisi 'nyeti' nchini

Hongereni Marais wote wa Tanzania kwa kutuheshimisha watu wa Mara katika teuzi za Taasisi 'nyeti' nchini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ukiwakosa Jeshini katika Nafasi za CDF badi utawakuta hata TISS katika Nafasi za Juu Juu na ukiwakosa huko basi huwezi Kuwakosa katika Jeshi la Police kama IGP na ukiwakosa huku basi hata kule JKT pia hutowakosa kama Wakuu.

Sifa (Tunu) Kuu ya Watu wa Mkoa wa Mara (Musoma) ni...

1. Waaminifu na Wakweli
2. Siyo Waoga
3. Wapambanaji
4. Wanapenda Kazi
5. Siyo Wanafiki
6. Majasiri Kiasili
7. Wamebarikiwa mno Akili (IQ)

Hongereni sana Marais wa Tanzania kwa kuendelea Kutuheshimisha Mkoa wa Mara (Musoma) na kwa Niaba ya Wana Poti (wana Mara) wote wa hapa JamiiForums nasema Akhsante Kwako Rais Samia na kamwe wana Mara hatutokuangusha katika Majukumu yoyote yale ya Kimedani (za Taasisi Nyeti) nchini na tunakuhakikishia Rais Samia kwakuwa Mkoa wa Mara (Musoma) ndiyo umeleta Uhuru wa Nchi hii kwa kupitia Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere basi nasi tutakulinda na tutailinda Tanzania yetu (yako) hii daima. Tunakupenda mno Mama (Rais) Samia na GENTAMYCINE nasema Kwako tena Asante.

Mwisho nikupongeze pia Rais na Marais wengine Wote wa Tanzania kwa kutopoteza muda Wenu na Kuwateua katika Nafasi hizo (hizi) Nyeti Watu wa Kagera (Wahaya), wa Singida (Wanyaturu na Wanyiramba), wa Kigoma (Waha), wa Mwanza (Wakerewe na Wakara), wa Dodoma (Warangi) na wa Tabora (Wanyamwezi) kwani hawa ukiachia mbali tu kuwa ni Washamba (Mambwiga) Kiasili lakini pia ni Waoga, Wavivu na hizi Kazi za 'Kimedani' hawaziwezi kabisa.

Watani mpooooo.......kama nawaona!
 
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

ukiachia mbali tu kuwa ni Washamba ( Mambwiga ) Kiasili lakini pia ni Waoga, Wavivu na hizi Kazi za 'Kimedani' hawaziwezi kabisa.
 
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

ukiachia mbali tu kuwa ni Washamba ( Mambwiga ) Kiasili lakini pia ni Waoga, Wavivu na hizi Kazi za 'Kimedani' hawaziwezi kabisa.
Nimewachokoza Makusudi Mkuu na Leo nitawakoma hapa wakija. Nawapenda sana Watani zangu Wakubwa hao na Wengine ( tena Wengi wao ) wameshawahi pia kuwa ni Mabosi zangu nilikopita Kiuwajibikaji.
 
Watu wa mara wanapendwa sana jeshini/polisi sababu ni wabinafsi sana, hawana mambo ya kuinua ukoo au mahali alipotoka.

Mtu wa mara hata akiwa anakujua vipi, kama huna merits z kupata kazi/mchongo hutopata kitu.
Acha Unaa...!!
 
Ukiwakosa Jeshini katika Nafasi za CDF badi utawakuta hata TISS katika Nafasi za Juu Juu na ukiwakosa huko basi huwezi Kuwakosa katika Jeshi la Police kama IGP na ukiwakosa huku basi hata kule JKT pia hutowakosa kama Wakuu.
Mwanzoni nimesoma nikataka kusema wewe ni mkabila ila mwishoni nimegundua kumbe unawapiga dongo watani zako.Uliyotaja juu yote sawa ila namba saba ina ukakasi
 
Ole wako, ole wako ujifanye mniletee ndizi, mara dagaa, mara mafuta ya alizeti, utachokiona utajuta, nikukujazia nyuki zikutwange hadi zichoke, all in all watani kijadi na kiutamaduni hizo nafasi mkizikosa hua tunashangaa maana weledi upande huo mnao wa kutosha.
 
Sifa za mwanzo ulizowapa sawa, kasoro IQ hawana, wenye IQ zao wanajulikana walipo.
 
Back
Top Bottom