Hongereni mlioihujumu Simba jana, fanyeni hivyo na Azam pia Jumanne

Hongereni mlioihujumu Simba jana, fanyeni hivyo na Azam pia Jumanne

Mechi ya jana tunajua kila kitu kilichofanyika, kwanza walianza na Dodoma kule Dodoma lkn hawakufanikiwa, wakafanya na Singida hawakufanikiwa, wakatumia nguvu kubwa sana na Raja, hata kama Raja ni wazuri kiasi gani lkn sio kwa yale yaliyotokea jana, tunajua waarabu walimwaga mpunga wa kutosha kwa mahasimu waliopo ndani ya Simba ambao hawamtaki Mangungu ili tu kutunyima raha, wengine walisikika wakipigiana simu kuambiana wametimiza ahadi zao jana na bado.

Endeleeni kuhujumu timu lkn kuna siku tutaelewana kidogo kidogo, najua mnajipanga kuipa ubingwa Yanga kwenye mechi yetu na Azam.Lakin yana mwisho haya.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
KOLO MOJA LIMESIKIKA LIKISEMA
 
Mechi ya jana tunajua kila kitu kilichofanyika, kwanza walianza na Dodoma kule Dodoma lkn hawakufanikiwa, wakafanya na Singida hawakufanikiwa, wakatumia nguvu kubwa sana na Raja, hata kama Raja ni wazuri kiasi gani lkn sio kwa yale yaliyotokea jana, tunajua waarabu walimwaga mpunga wa kutosha kwa mahasimu waliopo ndani ya Simba ambao hawamtaki Mangungu ili tu kutunyima raha, wengine walisikika wakipigiana simu kuambiana wametimiza ahadi zao jana na bado.

Endeleeni kuhujumu timu lkn kuna siku tutaelewana kidogo kidogo, najua mnajipanga kuipa ubingwa Yanga kwenye mechi yetu na Azam.Lakin yana mwisho haya.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Amka toka usingizini, hatuna timu mkuu. Wale Raja ni maji marefu kwetu
 
Mechi ya jana tunajua kila kitu kilichofanyika, kwanza walianza na Dodoma kule Dodoma lkn hawakufanikiwa, wakafanya na Singida hawakufanikiwa, wakatumia nguvu kubwa sana na Raja, hata kama Raja ni wazuri kiasi gani lkn sio kwa yale yaliyotokea jana, tunajua waarabu walimwaga mpunga wa kutosha kwa mahasimu waliopo ndani ya Simba ambao hawamtaki Mangungu ili tu kutunyima raha, wengine walisikika wakipigiana simu kuambiana wametimiza ahadi zao jana na bado.

Endeleeni kuhujumu timu lkn kuna siku tutaelewana kidogo kidogo, najua mnajipanga kuipa ubingwa Yanga kwenye mechi yetu na Azam.Lakin yana mwisho haya.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
KUPATAAA VICHEKESHO KAMA HIVI ANDIKA NENOOO ZUWENAAMONDI KWENDA NAMBA 557717
 
Tanzania hakuna mpira bwana tuache longolongo , simba hana wachezaji bhana tunaongopeana nini sasa mpira wa Tanzania maneno m3ngi promo kibao afu hakuna lolote. Wekeza kwenye Muziki labda ndo naona vijana wanajituma. Uku kwenye mpira tubaki na ndondo cup over.
Kitu kingine Uteuzi wa wasimamiz wa sanaa na michezo sijui kama huyu kacheza ata lende😁😁
 
Mwamedi anajitoa akili.
NAOMBA KOCHA ASILAUMIWE KWA LOLOTE. QUALITY NDIO IMEAMUA MCHEZO.

UNALETA AKINA MANZOKI KWENYE KAMPENI..
UNAPOTEZA
Dilunga, miquesson, Lwanga, Mugalu, Wawa, Kagere Unaleta.

Banda.
Sawadogo.
Ottara.
Kanute.
Okra.

HAWA NI MIZIGO.
UONGOZI WA SIMBA JITAFAKARINI
Nakubaliana na wewe kwa [emoji817]
 
Siku Makolo fc mtakubali hamna timu ya ushindani ndo mtaamka! Kwasasa mbumbumbu fc aka Zuwena mmelala usingizi WA pono! Fo fo fo! Mtaendelea kupigwa kama Ngoma hadi mfukuzane wote kocha, wachezaji na Mo mwenyewe!

Ona Leo Kisinda alivyopigilia msumari wa mwisho na kukata pumzi ya Mazembe! Hii ndo Yanga Nyie Simba kazi lawama na uchawi tu kurudisha bus kinyumenyume Sasa jumanne hamtoki kwa Azam Wana mizuka kama yote watafumua mishono ya Horoya na Raja!!

Mi kama kawaida nimekaa paleeee kwenye chimbo langu!! Nawa-zoom tu!!

Matusi yanaruhusiwa! Ila Makolo fc mkitaka kunipiga makonde na upper cut zenu sijui Ndoige ngumi jiwe ukienda kushoto unakutana nayo kulia pia imo Mimi utopolo Lia Lia hamtanipata!!

Simba hamdaiwi Tena goli tatu za Jana kaka zenu Yanga tumelipa!
 
Mechi ya jana tunajua kila kitu kilichofanyika, kwanza walianza na Dodoma kule Dodoma lkn hawakufanikiwa, wakafanya na Singida hawakufanikiwa, wakatumia nguvu kubwa sana na Raja, hata kama Raja ni wazuri kiasi gani lkn sio kwa yale yaliyotokea jana, tunajua waarabu walimwaga mpunga wa kutosha kwa mahasimu waliopo ndani ya Simba ambao hawamtaki Mangungu ili tu kutunyima raha, wengine walisikika wakipigiana simu kuambiana wametimiza ahadi zao jana na bado.

Endeleeni kuhujumu timu lkn kuna siku tutaelewana kidogo kidogo, najua mnajipanga kuipa ubingwa Yanga kwenye mechi yetu na Azam.Lakin yana mwisho haya.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Shida ya mashabiki wa mikia litimu lao likifungwa tu wanatafutiwa sababu amkeni nyie vichwa maji wenzenu wanapiga mpunga tu
 
Mechi ya jana tunajua kila kitu kilichofanyika, kwanza walianza na Dodoma kule Dodoma lkn hawakufanikiwa, wakafanya na Singida hawakufanikiwa, wakatumia nguvu kubwa sana na Raja, hata kama Raja ni wazuri kiasi gani lkn sio kwa yale yaliyotokea jana, tunajua waarabu walimwaga mpunga wa kutosha kwa mahasimu waliopo ndani ya Simba ambao hawamtaki Mangungu ili tu kutunyima raha, wengine walisikika wakipigiana simu kuambiana wametimiza ahadi zao jana na bado.

Endeleeni kuhujumu timu lkn kuna siku tutaelewana kidogo kidogo, najua mnajipanga kuipa ubingwa Yanga kwenye mechi yetu na Azam.Lakin yana mwisho haya.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
hivi wewe raja ni ya kuwahonga simba?
 
Back
Top Bottom