Hongereni mlioihujumu Simba jana, fanyeni hivyo na Azam pia Jumanne

Hongereni mlioihujumu Simba jana, fanyeni hivyo na Azam pia Jumanne

Mechi ya jana tunajua kila kitu kilichofanyika, kwanza walianza na Dodoma kule Dodoma lkn hawakufanikiwa, wakafanya na Singida hawakufanikiwa, wakatumia nguvu kubwa sana na Raja, hata kama Raja ni wazuri kiasi gani lkn sio kwa yale yaliyotokea jana, tunajua waarabu walimwaga mpunga wa kutosha kwa mahasimu waliopo ndani ya Simba ambao hawamtaki Mangungu ili tu kutunyima raha, wengine walisikika wakipigiana simu kuambiana wametimiza ahadi zao jana na bado.

Endeleeni kuhujumu timu lkn kuna siku tutaelewana kidogo kidogo, najua mnajipanga kuipa ubingwa Yanga kwenye mechi yetu na Azam.Lakin yana mwisho haya.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Kwahyo yale magoli yaliyofungwa na Raja yamefungwa na watu wasiomtaka Mangungu?
 
Mechi ya jana tunajua kila kitu kilichofanyika, kwanza walianza na Dodoma kule Dodoma lkn hawakufanikiwa, wakafanya na Singida hawakufanikiwa, wakatumia nguvu kubwa sana na Raja, hata kama Raja ni wazuri kiasi gani lkn sio kwa yale yaliyotokea jana, tunajua waarabu walimwaga mpunga wa kutosha kwa mahasimu waliopo ndani ya Simba ambao hawamtaki Mangungu ili tu kutunyima raha, wengine walisikika wakipigiana simu kuambiana wametimiza ahadi zao jana na bado.

Endeleeni kuhujumu timu lkn kuna siku tutaelewana kidogo kidogo, najua mnajipanga kuipa ubingwa Yanga kwenye mechi yetu na Azam.Lakin yana mwisho haya.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Walivuna walichopanda
 
Aliyewadanganya ushindi wa mechi nikutoa hamasa za kuujaza uwanja na kuacha kuboresha kikosi ndio mchawi mkubwa kwenu😅😅
 
Mechi ya jana tunajua kila kitu kilichofanyika, kwanza walianza na Dodoma kule Dodoma lkn hawakufanikiwa, wakafanya na Singida hawakufanikiwa, wakatumia nguvu kubwa sana na Raja, hata kama Raja ni wazuri kiasi gani lkn sio kwa yale yaliyotokea jana, tunajua waarabu walimwaga mpunga wa kutosha kwa mahasimu waliopo ndani ya Simba ambao hawamtaki Mangungu ili tu kutunyima raha, wengine walisikika wakipigiana simu kuambiana wametimiza ahadi zao jana na bado.

Endeleeni kuhujumu timu lkn kuna siku tutaelewana kidogo kidogo, najua mnajipanga kuipa ubingwa Yanga kwenye mechi yetu na Azam.Lakin yana mwisho haya.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
we kwa akili yako simba walihujumiwa pale? kama kulikuwa na hujuma simba ingefungwa hata 5 mkuu. washauri simba wajipange
 
Mechi ya jana tunajua kila kitu kilichofanyika, kwanza walianza na Dodoma kule Dodoma lkn hawakufanikiwa, wakafanya na Singida hawakufanikiwa, wakatumia nguvu kubwa sana na Raja, hata kama Raja ni wazuri kiasi gani lkn sio kwa yale yaliyotokea jana, tunajua waarabu walimwaga mpunga wa kutosha kwa mahasimu waliopo ndani ya Simba ambao hawamtaki Mangungu ili tu kutunyima raha, wengine walisikika wakipigiana simu kuambiana wametimiza ahadi zao jana na bado.

Endeleeni kuhujumu timu lkn kuna siku tutaelewana kidogo kidogo, najua mnajipanga kuipa ubingwa Yanga kwenye mechi yetu na Azam.Lakin yana mwisho haya.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Kocha wa Raja kasema Simba haitishi,haina wachezaji wa maana.
Hilo nalo mkalitazame.
 
Tuache ngonjera, tuna team mbovu mno msimu huu + maamuzi ya kipumbavu ya kuajiri kocha mpya katikati ya msimu.
 
Tuache ngonjera, tuna team mbovu mno msimu huu + maamuzi ya kipumbavu ya kuajiri kocha mpya katikati ya msimu.
Kocha aliyeiingiza timu makundi mwingine, na anayetakiwa kuitoa makundi kwenda robo fainali mwingine halafu mnataka kutoboa. Ahaa wapi. Hata nafasi ya pili Simba iliopo kwenye ligi ni kwa bahati tu
 
Mechi ya jana tunajua kila kitu kilichofanyika, kwanza walianza na Dodoma kule Dodoma lkn hawakufanikiwa, wakafanya na Singida hawakufanikiwa, wakatumia nguvu kubwa sana na Raja, hata kama Raja ni wazuri kiasi gani lkn sio kwa yale yaliyotokea jana, tunajua waarabu walimwaga mpunga wa kutosha kwa mahasimu waliopo ndani ya Simba ambao hawamtaki Mangungu ili tu kutunyima raha, wengine walisikika wakipigiana simu kuambiana wametimiza ahadi zao jana na bado.

Endeleeni kuhujumu timu lkn kuna siku tutaelewana kidogo kidogo, najua mnajipanga kuipa ubingwa Yanga kwenye mechi yetu na Azam.Lakin yana mwisho haya.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Haha haaaaaaa hahahaha haaaaaaa haaaaaaaaaaa. Thimba guvu moya Mudy.
 
Mechi ya jana tunajua kila kitu kilichofanyika, kwanza walianza na Dodoma kule Dodoma lkn hawakufanikiwa, wakafanya na Singida hawakufanikiwa, wakatumia nguvu kubwa sana na Raja, hata kama Raja ni wazuri kiasi gani lkn sio kwa yale yaliyotokea jana, tunajua waarabu walimwaga mpunga wa kutosha kwa mahasimu waliopo ndani ya Simba ambao hawamtaki Mangungu ili tu kutunyima raha, wengine walisikika wakipigiana simu kuambiana wametimiza ahadi zao jana na bado.

Endeleeni kuhujumu timu lkn kuna siku tutaelewana kidogo kidogo, najua mnajipanga kuipa ubingwa Yanga kwenye mechi yetu na Azam.Lakin yana mwisho haya.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
hamchokagi kutafuta pa kujificha? Kubalini kushindwa ndio ushindani
 
U
Mechi ya jana tunajua kila kitu kilichofanyika, kwanza walianza na Dodoma kule Dodoma lkn hawakufanikiwa, wakafanya na Singida hawakufanikiwa, wakatumia nguvu kubwa sana na Raja, hata kama Raja ni wazuri kiasi gani lkn sio kwa yale yaliyotokea jana, tunajua waarabu walimwaga mpunga wa kutosha kwa mahasimu waliopo ndani ya Simba ambao hawamtaki Mangungu ili tu kutunyima raha, wengine walisikika wakipigiana simu kuambiana wametimiza ahadi zao jana na bado.

Endeleeni kuhujumu timu lkn kuna siku tutaelewana kidogo kidogo, najua mnajipanga kuipa ubingwa Yanga kwenye mechi yetu na Azam.Lakin yana mwisho haya.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Una uhakika 🤔,kama ndicho wahi takukuru chap kwa haraka,au basi kama huwezi peleka malalamiko cuf🏃
 
Mechi ya jana tunajua kila kitu kilichofanyika, kwanza walianza na Dodoma kule Dodoma lkn hawakufanikiwa, wakafanya na Singida hawakufanikiwa, wakatumia nguvu kubwa sana na Raja, hata kama Raja ni wazuri kiasi gani lkn sio kwa yale yaliyotokea jana, tunajua waarabu walimwaga mpunga wa kutosha kwa mahasimu waliopo ndani ya Simba ambao hawamtaki Mangungu ili tu kutunyima raha, wengine walisikika wakipigiana simu kuambiana wametimiza ahadi zao jana na bado.

Endeleeni kuhujumu timu lkn kuna siku tutaelewana kidogo kidogo, najua mnajipanga kuipa ubingwa Yanga kwenye mechi yetu na Azam.Lakin yana mwisho haya.

Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Ukiwa na mawazo ya kutokubali kushindwa utapata tabu sana kwenye hii dunia na pengine kuendelea Kufeli kwani hutajirekebisha
Kuna timu kubwa kabisa za Ulaya zinafungwa na vitimu vya kawaida na karibia kushuka daraja sembuse Simba? Hembu kuweni basi wanamichezo na sio wapiga majungu!
 
Siku Makolo fc mtakubali hamna timu ya ushindani ndo mtaamka! Kwasasa mbumbumbu fc aka Zuwena mmelala usingizi WA pono! Fo fo fo! Mtaendelea kupigwa kama Ngoma hadi mfukuzane wote kocha, wachezaji na Mo mwenyewe!

Ona Leo Kisinda alivyopigilia msumari wa mwisho na kukata pumzi ya Mazembe! Hii ndo Yanga Nyie Simba kazi lawama na uchawi tu kurudisha bus kinyumenyume Sasa jumanne hamtoki kwa Azam Wana mizuka kama yote watafumua mishono ya Horoya na Raja!!

Mi kama kawaida nimekaa paleeee kwenye chimbo langu!! Nawa-zoom tu!!

Matusi yanaruhusiwa! Ila Makolo fc mkitaka kunipiga makonde na upper cut zenu sijui Ndoige ngumi jiwe ukienda kushoto unakutana nayo kulia pia imo Mimi utopolo Lia Lia hamtanipata!!

Simba hamdaiwi Tena goli tatu za Jana kaka zenu Yanga tumelipa!
Ndoighe Tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Alaf huyu jamaa hamjamuelewa. Wanaposema "hujuma" wanamaanisha kuna mtu katoa siri kwa wapinzani wao kuhusu uchawi wao na kutibuliwa. Mantiki iko hapo.
 
Unaanza kujihami ili mkikalia kwa Azam mje na majibu yenu sio.[emoji1]
 
Sawadogo, Bocco, kibu nk hatutoboi kwa wachezaji wa aina hii.
 
Back
Top Bottom