Hongereni Mtibwa

Hongereni Mtibwa

Uwekezaji wa Azam hauendani Na Mafanikio Yao!
sikweli mkuu uwekezaji wa mtibwa sugar ndio hauendani na mafanikio yao, jaribu kufuatilia wale Jamaa karibia vilabu vyote bongo vinatumia wachezaji waliokuzwa toka mtibwa, angalia hata timu za taifa za vijana asilimia kubwa wachezaji hutoka manungu turiani, lakin unapofika kwenye mafanikio yao hayaendani na uwekezaji wao kule mashambani, ukienda manungu kuna wachezaji zaidi ya 60 wanakichafua tu na wameridhika na maisha ya kule
 
Mtibwa wako vizuri na si ajabu akachukua hili kombe endapo yanga wakiteleza leo..Kwenye soka lolote laweza kutokea.
Wanahitaji kuongeza umakini kidogo.Ikitokea wakakutana na Yanga fainali(kama wataifunga Stand na Yanga wakaifunga Singida), wasitie staili ya kupaki basi.Itawagharimu.
 
Mmh. Kwa hiyo na sie leo tukidoda kesho Singida nao sifa itawahusu. Lol

Haya bwana. Hongera kwa Ntibwa.
Pole Hajar...Nakuombeeni muwafunge Singida.Wale ni marafiki zenu kweikwei...!
Ha ha ha ha.
 
Hahahaa. Game ya leo ikipita salama basi nitakuwa na asilimia nyingi kuamini hivyo mtani.

Si unajua tena mpira hautabiriki huu.
Mtashinda INSHAALLAH.
Sisi tutawakazia kwenye VPL...hata kupinga tutapinga lakini tusiumizane. Ha ha ha ha ha...!
 
Amini hivyo mtani singida sasa hivi hawaeleweki kabisa....

So na uhakika mtawafunga si chini ya goli 3.....
Watoto wa MH.MN...anasema yeyote atakayeshinda hakuna atakachopoteza.
Tawi lao lile.
 
sikweli mkuu uwekezaji wa mtibwa sugar ndio hauendani na mafanikio yao, jaribu kufuatilia wale Jamaa karibia vilabu vyote bongo vinatumia wachezaji waliokuzwa toka mtibwa, angalia hata timu za taifa za vijana asilimia kubwa wachezaji hutoka manungu turiani, lakin unapofika kwenye mafanikio yao hayaendani na uwekezaji wao kule mashambani, ukienda manungu kuna wachezaji zaidi ya 60 wanakichafua tu na wameridhika na maisha ya kule
Sasa hapo Mtibwa hatuwezi kuwalaumu kwa kuwa wametumia resource zao ambazo kabla hawajazifaidi,tayari Simba na Yanga zinaenda kufaidika nazo.Hivyo, wanaendelea tena kutengeneza timu.
Wakati Azam wanatumia ready made players wengi ili kuipa timu yao hadhi.Sasa hivi ndo wameanza kuvuna matunda yao ambayo kimsingi hayawezi kupambania ubingwa tena kwa kuwa wamekosa watu pale mbele.Bado kuna utoto utoto.
 
Back
Top Bottom