MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Sisi watoto wa bisimark rock aka watoto wa rock city tulimisi sana MATANGAZO yenu leo nafungulia radio kitu inatiki tunakuomba bwana Dialo acha ubabaifu lipa wafanyakazi, ni hayo tu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo hewani Kwa Sasa amka na BBC inaendelea na WATANGAZAJI wapo Wana wajibika.Mbona Bado Yanakatika Tu
Endelea Kusikiliza Huwa Hawapo Hewani, Tunachozungumzia Kukatika Ghafla Kwa MatangazoWapo hewani Kwa Sasa amka na BBC inaendelea na WATANGAZAJI wapo Wana wajibika.
Takribani siku 14 hakukuwa na WATANGAZAJI Wala vipindi havikuwepo ilikuwa ukifungulia unakutana na mziki pekee WATANGAZAJI hawaakiki.Endelea Kusikiliza Huwa Hawapo Hewani, Tunachozungumzia Kukatika Ghafla Kwa Matangazo
Kwetu mwanza ni fahali yetu FREDY FIDELIS RIP BALAGAZA RIP ZM ZUBERI MSAMAHA RIPNaipenda hii Radio maana nakumbuka mbali sana kipindi hicho inawatangazaji hawa.
Fred war
Sauda Mwilima..
Hivi kuna watu bado wanasikiliza Radio duuhKwetu mwanza ni fahali yetu FREDY FIDELIS RIP BALAGAZA RIP ZM ZUBERI MSAMAHA RIP
Nacho kipajiHivi kuna watu bado wanasikiliza Radio duuh
Stive MoyoNaipenda hii Radio maana nakumbuka mbali sana kipindi hicho inawatangazaji hawa.
Fred war
Sauda Mwilima
Zuberi Msabaa...
Roy Maganga aliendaga wapi?Stive Moyo
Roy Maganga
Hakika RFA ilileta mapinduzi makubwa katika tasnia ya utangazaji hapa nchini
Mbona walishaurdi hewani muda mrefu ,kama siku ya 5 leo tangia warudi ,wamelipwa mshahara wa mwezi mmoja huku wakidiscuss mishahara mingine iliyobakia.WATANGAZAJI waligoma za ndani kabisa mishahara ya mpaka miezi 3 hawajalipwa
Daah kitambo sanaStive Moyo
Roy Maganga
Hakika RFA ilileta mapinduzi makubwa katika tasnia ya utangazaji hapa nchini
Inaweekana Diallo anasitisha malipo ghaflaEndelea Kusikiliza Huwa Hawapo Hewani, Tunachozungumzia Kukatika Ghafla Kwa Matangazo
Hauwezi ikwepa wote wenye magari lazima wafungulie radioHivi kuna watu bado wanasikiliza Radio duuh
Mgomo mshaharaKulikuwa na shida gani? Sijasikiliza muda mrefu sana
Bila kuwasahau akina Yahaya Mohamed, Beatrice George, Ivona Kamuntu na mumewe, ulikuwa ukija Kiss FM ndo usipime walikuwapo akina dada Bella, Steve Kabuye (The President), DJ Maaliz nk. Hakika RFA na Kiss FM ni Chuo cha WatangazajiNaipenda hii Radio maana nakumbuka mbali sana kipindi hicho inawatangazaji hawa.
Fred war
Sauda Mwilima
Zuberi Msabaa...
Na ndio hao walienda kufanya vizuri hata kwenye radio zingine na Tv piaBila kuwasahau akina Mohamed Mohamed, Beatrice George, Ivona Kamuntu na mumewe, ulikuwa ukija Kiss FM ndo usipime walikuwapo akina dada Bella, Steve Kabuye (The President), DJ Maaliz nk. Hakika RFA na Kiss FM ni Chuo cha Watangazaji