Hongereni RFA kurejea kwa matangazo

Hongereni RFA kurejea kwa matangazo

Naipenda hii Radio maana nakumbuka mbali sana kipindi hicho inawatangazaji hawa.

Fred war
Sauda Mwilima
Zuberi Msabaa
Deokaji Makomba
Juma Ahmed Baragaza
Felister Kunigela
Erica Elias
Mtani Wambura
Rahabu Ufungo
Glory Mtoto wa mama Sabuni
Baruani Mhuza
Rebecca Molesi
Dah! Aisee!
Yaani huwezi amini katika hiyo list waliopo ni 3 tu, wengine wamehamia vituo vingine na wengine wamepumzika kwa amani.
 
Naipenda hii Radio maana nakumbuka mbali sana kipindi hicho inawatangazaji hawa.

Fred war
Sauda Mwilima
Zuberi Msabaa
Deokaji Makomba
Juma Ahmed Baragaza
Felister Kunigela
Erica Elias
Mtani Wambura
Rahabu Ufungo
Glory Mtoto wa mama Sabuni
Baruani Mhuza
Rebecca Molesi
Ukiacha TBC , RFA inakuza sana vipaji vya vijana na kuwapa ajira nje ya RFA, ndani na nje ya Tanzania
 
Sahara media wana tatizo la management hakuna kingine
Inawezekana- lakini hata wale wenye management nzuri wana matatizo ya ulipaji wa mishahara. Una kumbuka mtangazaji mmoja wa kike wa ITV Radio one alipokufa ndiyo michango yake ya hifadhi ya jamii na malimbikizo ya mishahara ikalipwa wakati wa mazishi yake tena wakati huo Mzee Mengi alikuwepo bado. JPM aliposhika uenyekiti wa CCM, radio uhuru na magazeti ya uhuru na mzalendo walikuwa na malimbikizo ya mshahara wa miaka 3. Jenerali ulimwengu kauza rai na dimba akafungua Raia mwema sasa amelikimbia kwa kumuuzia Kubenea anayeliendesha anavyojua mwenyewe. Ukitaka kumtukana mtu mpe kubenea 1m anakuandikia na kuchapisha unachotaka na gazeti linatoka.
 
Hii redio, Dialo angeikodisha tu, imeshamshinda kuendesha,, nadhani hapati matangazo ya kutosha, na hata kamari hailipi kivile, watu wamejanjaruka sana, awape chadema kwa mkataba maslumu😂
 
Back
Top Bottom