Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Dialo hii kitu imemshinda kabisa bora aiuzeSisi watoto wa bisimark rock aka watoto wa rock city tulimisi sana MATANGAZO yenu leo nafungulia radio kitu inatiki tunakuomba bwana Dialo acha ubabaifu lipa wafanyakazi, ni hayo tu .
Radio zina raha yakeHivi kuna watu bado wanasikiliza Radio duuh
Dah! Aisee!Naipenda hii Radio maana nakumbuka mbali sana kipindi hicho inawatangazaji hawa.
Fred war
Sauda Mwilima
Zuberi Msabaa
Deokaji Makomba
Juma Ahmed Baragaza
Felister Kunigela
Erica Elias
Mtani Wambura
Rahabu Ufungo
Glory Mtoto wa mama Sabuni
Baruani Mhuza
Rebecca Molesi
Ndio, wengi tu hasa vijijini, japo kwa muda mchache kama kipindi cha michezo ama burudani, matangazo ya mechi za mpira nk.Hivi kuna watu bado wanasikiliza Radio duuh
Kabisaa naumia sana kipindi hicho nipo kijijini unaamshwa na kipindi cha magazetiDah! Aisee!
Yaani huwezi amini katika hiyo list waliopo ni 3 tu, wengine wamehamia vituo vingine na wengine wamepumzika kwa amani.
Yupo TBC japo hatangazi. Ni kama azamtv walimchukua Yahya Mwamed kutoka Startv mtangazaji lakini hatangazi azamtv, yupo kwa nafasi nyingine.Roy Maganga aliendaga wapi?
Bila kuwasahau DC Godwin Gondwe (Double G), na Isaack GambaNa ndio hao walienda kufanya vizuri hata kwenye radio zingine na Tv pia
Roy maganga na mkewe Stella setumbi wote wapo TBCYupo TBC japo hatangazi. Ni kama azamtv walimchukua Yahya Mwamed kutoka Startv mtangazaji lakini hatangazi azamtv, yupo kwa nafasi nyingine.
Yes, ila mkewe anatangaza.Roy maganga na mkewe Stella setumbi wote wapo TBC
Miezi 3 tu? hapo Sahara watu wana miaka 10 wanadai kina Zuberi, Maduhu wamefariki bila kulipwaWATANGAZAJI waligoma za ndani kabisa mishahara ya mpaka miezi 3 hawajalipwa
Kuna ndugu yake anaitwa Nyala ndio cancer paleDialo hii kitu imemshinda kabisa bora aiuze
Ukiacha TBC , RFA inakuza sana vipaji vya vijana na kuwapa ajira nje ya RFA, ndani na nje ya TanzaniaNaipenda hii Radio maana nakumbuka mbali sana kipindi hicho inawatangazaji hawa.
Fred war
Sauda Mwilima
Zuberi Msabaa
Deokaji Makomba
Juma Ahmed Baragaza
Felister Kunigela
Erica Elias
Mtani Wambura
Rahabu Ufungo
Glory Mtoto wa mama Sabuni
Baruani Mhuza
Rebecca Molesi
Biashara ya media ilishakufa kama M-PESAMiezi 3 tu? hapo Sahara watu wana miaka 10 wanadai kina Zuberi, Maduhu wamefariki bila kulipwa
Kuna vitu huwezi kupata kwenye Youtube, Tv stations and the like ukapata only kwenye Radio station!!Hivi kuna watu bado wanasikiliza Radio duuh
Sahara media wana tatizo la management hakuna kingineBiashara ya media ilishakufa kama M-PESA
Inawezekana- lakini hata wale wenye management nzuri wana matatizo ya ulipaji wa mishahara. Una kumbuka mtangazaji mmoja wa kike wa ITV Radio one alipokufa ndiyo michango yake ya hifadhi ya jamii na malimbikizo ya mishahara ikalipwa wakati wa mazishi yake tena wakati huo Mzee Mengi alikuwepo bado. JPM aliposhika uenyekiti wa CCM, radio uhuru na magazeti ya uhuru na mzalendo walikuwa na malimbikizo ya mshahara wa miaka 3. Jenerali ulimwengu kauza rai na dimba akafungua Raia mwema sasa amelikimbia kwa kumuuzia Kubenea anayeliendesha anavyojua mwenyewe. Ukitaka kumtukana mtu mpe kubenea 1m anakuandikia na kuchapisha unachotaka na gazeti linatoka.Sahara media wana tatizo la management hakuna kingine
Hana strategies za biashara hata kidogoKuna ndugu yake anaitwa Nyala ndio cancer pale
Hao wa miaka 10 walikua wanaishije..?[emoji848]Miezi 3 tu? hapo Sahara watu wana miaka 10 wanadai kina Zuberi, Maduhu wamefariki bila kulipwa