Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Kabisa mkuu.Binafsi namkubali sana el nino pamoja na tofauti zetu hizi za UKiba na UDiamond bado tumebakia kua marafiki wazuri tu.
Ikitokea mada kati ya hao wawili tunachapana kwelikweli ila baada ya hapo tunajumuika fresh kwenye mambo mengine.
Pia Ruttashobolwa kidooogo maana hatujawahi kuchapana live u know...lol
Teh Teh uknw nifah habari yako......
Last edited by a moderator: