Hongereni sana!! Lak

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Kwa miaka mingi humu nilikuwa naongoza kwa kuwa na mabandiko mengi kushinda wengine.

Nadhani hadi kufikia mwaka jana, kwa kipindi fulani, nilikuwa naongoza.

Lakini kwa sasa hilo taji sinalo tena.

Nashikilia nafasi ya tano huku nikinyemelewa na Shunie aliye nafasi ya sita.

Wote walio juu yangu wamenikuta humu JF.

Hakika sasa nimeanza kuzeeka na ndo maana hata nguvu na spidi ya kubandika niliyokuwa nayo hapo awali, sina tena.

Heshima mbele kwa mzee Rutashubanyuma

Jamaa nimemvulia kofia.

 
NN wakati wa kutundika daluga ushafika teh teh....

Hao watu kweli wanaposti aisee, maana ukiacha wewe na BAK, last time i checked ni Mzizimkavu na Asprin pekee ndio walikuwa waizidi ID ya Watu8 kwa wingi wa mabandiko...

Lakini sasa ukongwe ushapiga kambi, uvivu nao umetamalaki...

 

[emoji817]%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…