Hongereni sana Tanzania Millitary Academy kwa Mafunzo yaliyotukuka kwani Wanajeshi wa Uganda

Hongereni sana Tanzania Millitary Academy kwa Mafunzo yaliyotukuka kwani Wanajeshi wa Uganda

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kila Mwanajeshi ninayekutana naye wa Uganda (hasa Maafisa) na wengi wao walioko katika Kikosi cha Ulinzi cha Rais Museveni na wakubwa wao walikoko Makao Makuu yao ya Mbuya na wale walioko katika Vyuo vyao vya Kijeshi kama Kawaweta, Jinja na Kabamba wanasema wanakipigia Saluti Chuo cha TMA na Kukiri kuwa Mwanajeshi akienda hapo Kimafunzo anakuwa Kapikika Kunakotukuka na kuweza Operation yoyote ya Kijeshi kwani kuna Wakufunzi mahiri na hawana Masihara.

Jana kuna Mwanajeshi Mmoja (Afisa) kanichekesha sana baada ya kuniambia kuwa alipoenda tu Mafunzoni Monduli akakaribishwa na Kauli hii kutoka kwa Mkufunzi, "Jambo Afande je, Nyota huwa ipo chini au mbali juu?"

Naye akajibu ipo Juu basi Mkufunzi akamwambia sasa umekuja hapa TMA kuitafuta na hutoipata Kizembezembe ila tutakulazimisha uipate Kikakamavu na anasema baada tu ya hiyo Kauli Mziki wa Kuiafuta ulianza pale pale.

Sasa nimegundua kwanini Rais Museveni 75% ya Walinzi wake hutafuta wale ambao kwanza wamepita huko TMA. Hivyo basi nami GENTAMYCINE naomba leo nitoe Pongezi zangu za dhati kwa Mkuu wa Majeshi ya Tanzania (CDF) Jenerali Mkunda, Wanajeshi wote wa JWTZ na hasa hasa Wakufunzi wa Chuo cha Kijeshi cha Monduli (TMA) na Mkuu wa Chuo hicho.

Mnaweza mkadhani hamfanyi Kazi ila niwahakikishieni kuwa mnakubalika karibia na Wanajeshi wote wa Nchi Majirani hivyo endeleeni Kutupikia Maafisa Wapiganaji.
 
Safi na ni sifa nzuri kwa nchi yetu.
Mkuu yaani kuanzia Jana baada ya kuona Jeshi la Tanzania na hasa Chuo cha TMA Kinasifiwa hivi na Wanajeshi wengi wa Uganda ( hasa Maafisa ) basi GENTAMYCINE natembea Kifua mbele huku kila mara nikikutana nao tu naanza kuwaambia Mimi ni Mtanzania kule kilipo Chuo cha TMA na Wananikubali huku baadhi yao wakijua nami ni Mjeda na hivi Mnyoo wangu Tukuka ni Upara ( Dongo ) tokea mwaka 1993 hadi Leo na sifugi Ndevu ( Kwangu Ndevu ni Mwiko na hata Kwingineko Kunakokaa Nywele pia ni Mwiko kuwepo ) basi wanajua Mimi ni wale wale JWTZ. Wananikubali kinoma. JWTZ hongereni sana na mno hakika Kazi mnayoifanya huko TMA inakubalika kuliko mnavyodhani na naomba kila Mtanzania ajivunie Jeshi letu Tukuka la JWTZ.
 
Kila Mwanajeshi ninayekutana nae wa Uganda ( hasa Maafisa ) na Wengi wao walioko katika Kikosi cha Ulinzi cha Rais Museveni na Wakubwa Wao walikoko Makao Makuu yao ya Mbuya na wale walioko katika Vyuo vyao vya Kijeshi kama Kawaweta, Jinja na Kabamba wanasema wanakipigia Saluti Chuo cha TMA na Kukiri kuwa Mwanajeshi akienda hapo Kimafunzo anakuwa Kapikika Kunakotukuka na kuweza Operation yoyote ya Kijeshi kwani kuna Wakufunzi mahiri na hawana Masihara.

Jana kuna Mwanajeshi Mmoja ( Afisa ) kanichekesha sana baada ya kuniambia kuwa alipoenda tu Mafunzoni Monduli akakaribishwa na Kauli hii kutoka kwa Mkufunzi...Jambo Afande je, Nyota huwa ipo chini au mbali juu? Nae akajibu ipo Juu basi Mkufunzi akamwambia sasa umekuja hapa TMA kuitafuta na hutoipata Kizembezembe ila tutakulazimisha uipate Kikakamavu na anasema baada tu ya hiyo Kauli Mziki wa Kuiafuta ulianza pale pale.

Sasa nimegundua kwanini Rais Museveni 75% ya Walinzi wake hutafuta wale ambao Kwanza wamepita huko TMA. Hivyo basi nami GENTAMYCINE naomba leo nitoe Pongezi zangu za dhati kwa Mkuu wa Majeshi ya Tanzania ( CDF ) Jenerali Mkunda, Wanajeshi wote wa JWTZ na hasa hasa Wakufunzi wa Chuo cha Kijeshi cha Monduli ( TMA ) na Mkuu wa Chuo hicho. Mnaweza mkadhani hamfanyi Kazi ila niwahakikishieni kuwa mnakubalika karibia na Wanajeshi wote wa Nchi Majirani hivyo endeleeni Kutupikia Maafisa Wapiganaji.
tukasaidie kongo sasa
 
Mkuu kwa unavyowaona hao jamaa vipi kwasasa wakileta shida tunaweza kuwakakanda au watatupiga Kama ngoma ?

Nimefurahia sana kusikia hizo habari mpanjuko za hiki chuo chetu ,nitakuwa mtukula wiki mbili zijazo lazima niingie mpaka kwao walau na Mimi niwatambie natoka Tz kilipo chuo makini hiki
 
Mkuu kwa unavyowaona hao jamaa vipi kwasasa wakileta shida tunaweza kuwakakanda au watatupiga Kama ngoma ?

Nimefurahia sana kusikia hizo habari mpanjuko za hiki chuo chetu ,nitakuwa mtukula wiki mbili zijazo lazima niingie mpaka kwao walau na Mimi niwatambie natoka Tz kilipo chuo makini hiki
Ukija nitafute tafadhali sawa?
 
Kumbe unaongeaga point hivi! Nilijuaga kila siku unaletaga story za wanawake wanaocheza kwenye mabar usiku "eti wanavuta kushabu sana"
 
Mkuu kwa unavyowaona hao jamaa vipi kwasasa wakileta shida tunaweza kuwakakanda au watatupiga Kama ngoma ?

Nimefurahia sana kusikia hizo habari mpanjuko za hiki chuo chetu ,nitakuwa mtukula wiki mbili zijazo lazima niingie mpaka kwao walau na Mimi niwatambie natoka Tz kilipo chuo makini hiki
Majibu yako.....

Sijaona bado hapa Afrika ya Mashariki na Kati Jeshi ambalo lina Uwezo wa Kupambana na JWTZ Mkuu na bahati nzuri kwa Shughuli niifanya hapa Uganda kila Siku nakutakana na Maafisa wa Kijeshi wa Uganda, Kenya na Rwanda ambao ni Wakufunzi katika Vyuo vyao huko Makwao na Wengine wako hapa Uganda ila Wote wanasema JWTZ ni Habari nyingine na Wote wakizungumza nami hawaachi Kukitaja Chuo cha TMA na kusema ukipelekwa huko jua Unaenda Kupikwa na Utapikika kwa kila Medani.
 
Kumbe unaongeaga point hivi! Nilijuaga kila siku unaletaga story za wanawake wanaocheza kwenye mabar usiku "eti wanavuta kushabu sana"
Leo Maziwa ya Uganda niliyokunywa huku nikiseiwa na Afande Mrembo wa Kiganda hapa katika Mesi yao ya Maafisa yamenifanya Akili yangu itulie na itoe Madini tu.
 
Kila Mwanajeshi ninayekutana nae wa Uganda ( hasa Maafisa ) na Wengi wao walioko katika Kikosi cha Ulinzi cha Rais Museveni na Wakubwa Wao walikoko Makao Makuu yao ya Mbuya na wale walioko katika Vyuo vyao vya Kijeshi kama Kawaweta, Jinja na Kabamba wanasema wanakipigia Saluti Chuo cha TMA na Kukiri kuwa Mwanajeshi akienda hapo Kimafunzo anakuwa Kapikika Kunakotukuka na kuweza Operation yoyote ya Kijeshi kwani kuna Wakufunzi mahiri na hawana Masihara.

Jana kuna Mwanajeshi Mmoja ( Afisa ) kanichekesha sana baada ya kuniambia kuwa alipoenda tu Mafunzoni Monduli akakaribishwa na Kauli hii kutoka kwa Mkufunzi...Jambo Afande je, Nyota huwa ipo chini au mbali juu? Nae akajibu ipo Juu basi Mkufunzi akamwambia sasa umekuja hapa TMA kuitafuta na hutoipata Kizembezembe ila tutakulazimisha uipate Kikakamavu na anasema baada tu ya hiyo Kauli Mziki wa Kuiafuta ulianza pale pale.

Sasa nimegundua kwanini Rais Museveni 75% ya Walinzi wake hutafuta wale ambao Kwanza wamepita huko TMA. Hivyo basi nami GENTAMYCINE naomba leo nitoe Pongezi zangu za dhati kwa Mkuu wa Majeshi ya Tanzania ( CDF ) Jenerali Mkunda, Wanajeshi wote wa JWTZ na hasa hasa Wakufunzi wa Chuo cha Kijeshi cha Monduli ( TMA ) na Mkuu wa Chuo hicho. Mnaweza mkadhani hamfanyi Kazi ila niwahakikishieni kuwa mnakubalika karibia na Wanajeshi wote wa Nchi Majirani hivyo endeleeni Kutupikia Maafisa Wapiganaji.
Sawa
 
Mkuu yaani kuanzia Jana baada ya kuona Jeshi la Tanzania na hasa Chuo cha TMA Kinasifiwa hivi na Wanajeshi wengi wa Uganda ( hasa Maafisa ) basi GENTAMYCINE natembea Kifua mbele huku kila mara nikikutana nao tu naanza kuwaambia Mimi ni Mtanzania kule kilipo Chuo cha TMA na Wananikubali huku baadhi yao wakijua nami ni Mjeda na hivi Mnyoo wangu Tukuka ni Upara ( Dongo ) tokea mwaka 1993 hadi Leo na sifugi Ndevu ( Kwangu Ndevu ni Mwiko na hata Kwingineko Kunakokaa Nywele pia ni Mwiko kuwepo ) basi wanajua Mimi ni wale wale JWTZ. Wananikubali kinoma. JWTZ hongereni sana na mno hakika Kazi mnayoifanya huko TMA inakubalika kuliko mnavyodhani na naomba kila Mtanzania ajivunie Jeshi letu Tukuka la JWTZ.
Kuna mwenzako Jana alileta andiko kuwa alisifiwa na kibabu kuwa anatembea kama mwanajeshi Huku kifua mbele mwendo wa Kasi,
Naona nawewe unaelekea huko
 
Kila Mwanajeshi ninayekutana naye wa Uganda (hasa Maafisa) na wengi wao walioko katika Kikosi cha Ulinzi cha Rais Museveni na wakubwa wao walikoko Makao Makuu yao ya Mbuya na wale walioko katika Vyuo vyao vya Kijeshi kama Kawaweta, Jinja na Kabamba wanasema wanakipigia Saluti Chuo cha TMA na Kukiri kuwa Mwanajeshi akienda hapo Kimafunzo anakuwa Kapikika Kunakotukuka na kuweza Operation yoyote ya Kijeshi kwani kuna Wakufunzi mahiri na hawana Masihara.

Jana kuna Mwanajeshi Mmoja (Afisa) kanichekesha sana baada ya kuniambia kuwa alipoenda tu Mafunzoni Monduli akakaribishwa na Kauli hii kutoka kwa Mkufunzi, "Jambo Afande je, Nyota huwa ipo chini au mbali juu?"

Naye akajibu ipo Juu basi Mkufunzi akamwambia sasa umekuja hapa TMA kuitafuta na hutoipata Kizembezembe ila tutakulazimisha uipate Kikakamavu na anasema baada tu ya hiyo Kauli Mziki wa Kuiafuta ulianza pale pale.

Sasa nimegundua kwanini Rais Museveni 75% ya Walinzi wake hutafuta wale ambao kwanza wamepita huko TMA. Hivyo basi nami GENTAMYCINE naomba leo nitoe Pongezi zangu za dhati kwa Mkuu wa Majeshi ya Tanzania (CDF) Jenerali Mkunda, Wanajeshi wote wa JWTZ na hasa hasa Wakufunzi wa Chuo cha Kijeshi cha Monduli (TMA) na Mkuu wa Chuo hicho.

Mnaweza mkadhani hamfanyi Kazi ila niwahakikishieni kuwa mnakubalika karibia na Wanajeshi wote wa Nchi Majirani hivyo endeleeni Kutupikia Maafisa Wapiganaji.
Kumbe Genta ni bakabaka ndio maana muda wote upo Kawe.
 
Kumbe Genta ni bakabaka ndio maana muda wote upo Kawe.
Endeleeni tu Kuchukulia Poa Watu ( Members ) hapa JamiiForums sawa? Sipo JWTZ wala TISS ila sijui kwanini nipo Ikulu za Watu na napewa VIP Treatments zote huku Maafisa wa Jeshi kuanzia Luteni hadi Major Generals wa nilipo sasa wananipa Heshima zote wakati Elimu yangu ni ya Kawaida sana tu ya Ka Digrii kangu Kamoja tu ka kutoka SAUT Mwanza ka mwaka 2009 nikiwa na Rafiki yangu mkubwa na Genius wa Tasnia ya Media Marehemu Haonga Lutengano.

Muacheni Mwenyezi Mungu aitwe Mungu na hakika huwa hapangiwi na kamwe sitoacha Kumshukuru na Kumuabudu.
 
Kuna mwenzako Jana alileta andiko kuwa alisifiwa na kibabu kuwa anatembea kama mwanajeshi Huku kifua mbele mwendo wa Kasi,
Naona nawewe unaelekea huko
Wahi DCEA wakakuhesabu kama Mteja wao wa Ugonjwa ambao wanasema kwa sasa upo sana nchini Tanzania sawa?
 
Mkuu kwa unavyowaona hao jamaa vipi kwasasa wakileta shida tunaweza kuwakakanda au watatupiga Kama ngoma ?

Nimefurahia sana kusikia hizo habari mpanjuko za hiki chuo chetu ,nitakuwa mtukula wiki mbili zijazo lazima niingie mpaka kwao walau na Mimi niwatambie natoka Tz kilipo chuo makini hiki
kama ulivyo hitimisha mkuu "WATATUPIGA KAMA NGOMA"
 
Back
Top Bottom