Hongereni sana Tanzania Millitary Academy kwa Mafunzo yaliyotukuka kwani Wanajeshi wa Uganda

Hongereni sana Tanzania Millitary Academy kwa Mafunzo yaliyotukuka kwani Wanajeshi wa Uganda

Hakuna lolote tunaweza Sasa hivi,tuache kujisifu.ukitaka kujua angalia mambo mengi ya kawaida hao watu wanatuzidi,kwa rasilimali za tz tungetakiwa kuwa mbali mara elfu moja na Hawa majirani wetu.nchi kama Uganda ,Rwanda,Burundi sio vya kujilinganisha navyo kabisa ,sisi tulitakiwa tuwe mbali zaidi yao kwenye Kila sekta.
 
Jeshi letu lipo vizuri ki man power sasa ni muda umefika wa kuliangalia kibajeti wanunue vifaa vya kisasa tusipumbazwe na Amani aliyotuachia baba wa taifa maana kada za kisiasa zina hela kuliko jeshi hii haikubariki
 
Wengi wao huwa wanakuja kama mananga mpaka unajiuliza kama hao watu kozi zao za RTS walifundishwa nini?
 
Back
Top Bottom