Hongereni sana Uto, ila kuna hili hapa

MdengestanfromCuba

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
629
Reaction score
658
Leo Uto mmejua kutufunga midomo tusiyowaombea mazuri, mmetisha sana🫡🫡. Kwenye mechi ya leo nimeona mambo kadhaa:

  • Kilichowaangusha Waarabu ni dharau yao kwa Yanga, hii mechi wangeweza kuimaliza Taifa, kwani Yanga walikuwa goigoi kwenye first leg. Dharau hiyohiyo imewafanya leo wasiamini wanachokiona kwenye uwanja (Yanga walijipanga).
  • Ushindi wa hii mechi tunaweza kumpongeza kocha sawa, ila nguvu kubwa sana imetumika na GSM kufuatia kelele za wananchi (ahadi ya m 500 kwa kikosi)!
  • Yanga walishindwa kupata matokeo mechi ya nyumbani kwa sababu ya hofu, na wameweza kupata matokeo ugenini kwa sababu ya hofu!
Mwisho kabisa niwapongeze tu kwa kuwapa raha mashabiki wenu.
 
Kuingia Makundi Sio 'Mafanikio'...!

So, hakuna haja Ya Pongezi.....!

Sio maneno Yangu,ni Ya Wanauto Wenyewe.

N:B.
Kiuhalisia hii ni turning point Kwa Yanga Kwamba Mambo Yanawezekana!

Naifananisha Na Ile Mechi Ya 'Simba Na Nkana...ilitoa signal KWAMBA Mambo Yanawezekana..!
 
kitu wanachotakiwa kufanya Yanga ni kua na consistency sasa, sio wa kukamia kutuliza kelele, maana leo mechi imechezwa kama fainali vile😆
 
Cha ajabu leo wameshangilia sn yn km sio wao waliosema kuingia makind sio mafanikio.
 
Duuh...! Waandishi uchwara siku hizi ni wengi. Mara kufunga hofu mara walishindwa kufunga hofu. Hapo ndio point umemaliza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…