Hongereni sana wakenya leo imenibidi niwapongeze tu majirani!!

Hongereni sana wakenya leo imenibidi niwapongeze tu majirani!!

Hongereni sana ndugu zetu kwa kuingiza slums nne kwa mpigo kwenye list hiyo ya kidunia
 
Mk254 kuna siku nilikwambia ndugu yangu acha kujivunia majumba ya kifahari ya akina white..
Haya sasa leo tumeona wakenya halisi wanapo ishi hapo ukijumlisha na GDP yenu ya mapishi mpo mbali sana...
Kesho utakuja hapa sijui kenya tuna barabara nzuri or bandari mombasa sijui 10times bigger than Dar...
Sijui wazungu wanawapenda longo longo nyingiiii...
Kumbe unalalala chini..
Na ninaamini wakenya waliopo JMF mngekua na hata hata na vigari au vijumba mngepost humu....

Kipi bora, kula mnofu wa albino au kuishi nyumba za mabanda kama Tandale. Hebu nenda kwa hii link uone mnavyotukanwa. Nyie mnaishi maisha ya kimaskini na bado mnawakula albino.
 
Kipi bora, kula mnofu wa albino au kuishi nyumba za mabanda kama Tandale. Hebu nenda kwa hii link uone mnavyotukanwa. Nyie mnaishi maisha ya kimaskini na bado mnawakula albino.
Umepaniki brother
 
Mimi ni Mtanzania lakini sikupendezwa na bandiko hili,
Inashangaza sana, mleta mada unapo post kitu kama hiki unalenga kufanikisha kitu gani? Faida gani utapata kwa kuiweka hadharani aibu ya jirani yako? Wewe huna aibu? Unatarajia mjadala wa aina gani utakaoendelea baada ya post yako? Huoni kwamba kuna mengi ya maana yenye kujenga, yenye tija ungeweza kuyaweka hapa yajadiliwe kuliko kuiweka aibu ya jirani yako? Hivi umezunguka Bongo kushuhudia aibu zilizopo kabla kugeukia jirani zetu? Kweli Nyani haoni .............

Tubadilike jamani!
 
Ripoti kutoka kwa hao hao Borgen Project inasema Watanzania 70% ni maskini wa kutupwa, hebu waza nchi yote hiyo (muungano wa mataifa mawili) yaani asilimia 70% jameni, licha ya madini, ardhi kubwa yenye rotuba, mvua, vivutio bora vya utalii...yaani kila mna kila sababu za kushinda mataifa yote kiuchumi, lakini uzembe hadi asilimia zote 70% bado mnateseka kwenye umaskini.
Hiyo asilimia 30% iliyosalia utakuta ni wahindi, waarabu, wazungu wote wanaojiita Watanzania na pia watoto wa vigogo, nyie wengine wote ni mateso tupu. Na ndio maana mnatusumbua sana kwa kujaza omba omba kwetu hapa, yaani Tanzania ndio nchi pekee yake Afrika ambayo raia wake wanaitoroka na kwenda kuwa omba omba kwenye taifa la jirani, bila aibu.
-------------------------------
The African country of Tanzania has a population of 53 million people, and it is estimated that around 70 percent of its people live in poverty. Although this constitutes a large amount of their population, the economy is improving and poverty is slowly decreasing. In fact, the economy in Tanzania has vastly improved over the last decade, averaging more than 6 percent growth a year. These improvements have come from many changes within the country.


Ata S.Sudan na Somalia na mashida zao zote hawaombi kwa mabarabara apa Kenya.
 
Enda Manzeshe ukaimarishe slums huko kwanza.Charity begins at home eveb CBD ya Dar kuna barabara bila lami .Work on that 1st mnafik wewe.
Du du du !!!! Kangemi slum in Naii hii ni gani mbona kila siku slum Mpya sijawai kuisikia hii WAKENYA MKUJE MTUTAJIE SLUM ZOTE ZILIZOPO NAII au ziko MOBU hata nyinyi wenyewe amzijui zote
 
Kipi bora, kula mnofu wa albino au kuishi nyumba za mabanda kama Tandale. Hebu nenda kwa hii link uone mnavyotukanwa. Nyie mnaishi maisha ya kimaskini na bado mnawakula albino.
Du du du !!!! Kangemi slum in Naii hii ni gani mbona kila siku slum Mpya sijawai kuisikia hii WAKENYA MKUJE MTUTAJIE SLUM ZOTE ZILIZOPO NAII au ziko MOBU hata nyinyi wenyewe amzijui zote
 
Hongereni sana ndugu zetu wa Damu wakenya kwa kuingiza slums nne kwa mpigo kwenye list ya kidunia hii ni fahari kwetu kama wana afrika mashariki
 
Tunawaombea Mwakani muingize slums hata saba kwenye list ili afrika mashariki ipae juu zaidi maana ushindi wenu ni wetu pia kama wana east africa
 
Ripoti kutoka kwa hao hao Borgen Project inasema Watanzania 70% ni maskini wa kutupwa, hebu waza nchi yote hiyo (muungano wa mataifa mawili) yaani asilimia 70% jameni, licha ya madini, ardhi kubwa yenye rotuba, mvua, vivutio bora vya utalii...yaani kila mna kila sababu za kushinda mataifa yote kiuchumi, lakini uzembe hadi asilimia zote 70% bado mnateseka kwenye umaskini.
Hiyo asilimia 30% iliyosalia utakuta ni wahindi, waarabu, wazungu wote wanaojiita Watanzania na pia watoto wa vigogo, nyie wengine wote ni mateso tupu. Na ndio maana mnatusumbua sana kwa kujaza omba omba kwetu hapa, yaani Tanzania ndio nchi pekee yake Afrika ambayo raia wake wanaitoroka na kwenda kuwa omba omba kwenye taifa la jirani, bila aibu.
-------------------------------
The African country of Tanzania has a population of 53 million people, and it is estimated that around 70 percent of its people live in poverty. Although this constitutes a large amount of their population, the economy is improving and poverty is slowly decreasing. In fact, the economy in Tanzania has vastly improved over the last decade, averaging more than 6 percent growth a year. These improvements have come from many changes within the country.


Anzisha uzi wako ila kwa sasa we deal with hell-like slums..!!from number 1 to number 4!..well done
 
Enda Manzeshe ukaimarishe slums huko kwanza.Charity begins at home eveb CBD ya Dar kuna barabara bila lami .Work on that 1st mnafik wewe.

Number 1 to number 4 nairobi oooo yeah nairobi kuna slum mob
 
Tunajadili mnavyotusumbua kwa kujaza omba omba hapa Kenya, mna tuzo tatu ambazo mumeshinda mataifa yote ya dunia
- Kuchinja albino
- Kuchinja watoto kwa sababu za kishirikina
- Kujaza omba omba kwenye nchi za watu





Acha hasira bwana mbona unaleta utani kwenye mambo muhimu?
 
Mimi ni Mtanzania lakini sikupendezwa na bandiko hili,
Inashangaza sana, mleta mada unapo post kitu kama hiki unalenga kufanikisha kitu gani? Faida gani utapata kwa kuiweka hadharani aibu ya jirani yako? Wewe huna aibu? Unatarajia mjadala wa aina gani utakaoendelea baada ya post yako? Huoni kwamba kuna mengi ya maana yenye kujenga, yenye tija ungeweza kuyaweka hapa yajadiliwe kuliko kuiweka aibu ya jirani yako? Hivi umezunguka Bongo kushuhudia aibu zilizopo kabla kugeukia jirani zetu? Kweli Nyani haoni .............
Tubadilike jamani!

Oya huu ni utani (joke) ndugu yangu hakuna kitu serious hapa hata wakenya wenyewe wanajua! Mara ngapi wao wana-post Madudu yetu tena na kejeri juu

Au wewe ni mgeni humu...?
 
Naona umepapaswa penyewe hadi unaleta past news [emoji23][emoji23][emoji23] kumbe hizi slum huwa zinawauna, nishapata dawa yenu
Kipi bora, kula mnofu wa albino au kuishi nyumba za mabanda kama Tandale. Hebu nenda kwa hii link uone mnavyotukanwa. Nyie mnaishi maisha ya kimaskini na bado mnawakula albino.
 
Slums ndo zile full suti?
Wengine lugha imetupitia kushoto
 
If kibera holds 700000 slum dwellers,mathare 200000 dwellers,kawangware 650000,and kangemi 100000...
Jumla ni slum dwellers 1,650,000, hapo bado dandora slum,huruma,mama mboga,kiambiui, let assume inafika slum dwellers 2,000,000
So,population ya nairobi ni approx 4,000,000 people, ukitoa wale slum dwellers it means nusu ya wakazi wa nairobi wanaishi kwa slums,very sorry
 
Back
Top Bottom