Hongereni sana wakenya leo imenibidi niwapongeze tu majirani!!

Hongereni sana wakenya leo imenibidi niwapongeze tu majirani!!

Ww hujui tabia yabjirani yako

Ungekua unajua wala usinge post ulicho post
 
Na ukute hizi mbu zinazotusumbuaga humu zinatokea kwenye hizo "honourable places"
 
Kenya have made it possible to contribute 4 major slums in the list of the world worst slums,

Wakenya hiki ni kitengo chenu bwana msiisingizie dar es salaam

Wa-Kenya wao huwa hawaui Albno lakini. Nawasifu sana kwa hilo. Wahenga waliwahi kuimba wimbo unasema "Mtu chake apendacho, hakina hila moyoni, huridhika kuwa nacho japo hakina thamani." Halafu juzi tu Wa-Kenya hawa hawa wameturudishia pesa yetu nyingi sana iliwahi kuibiwa NBC Moshi, huko nyuma mwaka 2004, pamoja na dhahabu waliyoikamata Polisi wa Kenya Airport mwezi juzi mwaka huu. Bado tu wa-Kenya wanapondwa, tena na mtu m-Tanzania. Unajua nini, baadhi yetu sisi wa-Tanzania huwa ni wajinga sana!

Halafu ngoja nikupe tip hii: kwa uzoefu wangu mimi, M-Kennya na M-Tanzania wakikutana tuseme kwa mfano Ulaya, wasiowajua huwa hawawezi kuwatofautisha kuwa huyu ni M-Kenya na yule ni M-Tanzania. Huwa wanawaona kuwa aidha wote ni wa-Tanzania au wote ni wa-Kenya. Hadi mfikie hatua ya kuwajulisha kuwa yule ni M-Kenya na yue ni M-Tanzania. Ni kama walivyo wa-Malawi na wa-Zambia!
 
Wa-Kenya wao huwa hawaui Albno lakini. Nawasifu sana kwa hilo. Wahenga waliwahi kuimba wimbo unasema "Mtu chake apendacho, hakina hila moyoni, huridhika kuwa nacho japo hakina thamani." Halafu juzi tu Wa-Kenya hawa hawa wameturudishia pesa yetu nyingi sana iliwahi kuibiwa NBC Moshi, huko nyuma mwaka 2004, pamoja na dhahabu waliyoikamata Polisi wa Kenya Airport mwezi juzi mwaka huu. Bado tu wa-Kenya wanapondwa, tena na mtu m-Tanzania. Unajua nini, baadhi yetu sisi wa-Tanzania huwa ni wajinga sana!

Halafu ngoja nikupe tip hii: kwa uzoefu wangu mimi, M-Kennya na M-Tanzania wakikutana tuseme kwa mfano Ulaya, wasiowajua huwa hawawezi kuwatofautisha kuwa huyu ni M-Kenya na yule ni M-Tanzania. Huwa wanawaona kuwa aidha wote ni wa-Tanzania au wote ni wa-Kenya. Hadi mfikie hatua ya kuwajulisha kuwa yule ni M-Kenya na yue ni M-Tanzania. Ni kama walivyo wa-Malawi na wa-Zambia!
We naye kama umerogwa. Ina maana wewe unavyoonaga hawa wakenya kuuutwa wakiwa ni kazi ya kusema na kuiponda Tamzania, huwa unasema nini kuigharafu nchi yako? Leo wanasemwa wao, huyo unaibuka kuwakingia kifua. Sisi huwa hatuna mema ama?
 
We naye kama umerogwa. Ina maana wewe unavyoonaga hawa wakenya kuuutwa wakiwa ni kazi ya kusema na kuiponda Tamzania, huwa unasema nini kuigharafu nchi yako? Leo wanasemwa wao, huyo unaibuka kuwakingia kifua. Sisi huwa hatuna mema ama?
Niongezee!
 
Tunajadili mnavyotusumbua kwa kujaza omba omba hapa Kenya, mna tuzo tatu ambazo mumeshinda mataifa yote ya dunia
- Kuchinja albino
- Kuchinja watoto kwa sababu za kishirikina
- Kujaza omba omba kwenye nchi za watu





Mbona nyie wenyewe mmezalisha wezi kibao hadi wanakuja kutuibia huku Tanzaniahttps://youtu.be/WtoSKzIxg_8
 
Kipi bora, kula mnofu wa albino au kuishi nyumba za mabanda kama Tandale. Hebu nenda kwa hii link uone mnavyotukanwa. Nyie mnaishi maisha ya kimaskini na bado mnawakula albino.
 
Top 10 ya majiji mazuri na yanayovutia Africa Dar ipo namba 3 huku Nairobi ikitupwa hadi namba 7 [emoji23][emoji23][emoji23]
Sio bure wezere aka wwowo la gavana limetupandisha chati.
 
Ripoti kutoka kwa hao hao Borgen Project inasema Watanzania 70% ni maskini wa kutupwa, hebu waza nchi yote hiyo (muungano wa mataifa mawili) yaani asilimia 70% jameni, licha ya madini, ardhi kubwa yenye rotuba, mvua, vivutio bora vya utalii...yaani kila mna kila sababu za kushinda mataifa yote kiuchumi, lakini uzembe hadi asilimia zote 70% bado mnateseka kwenye umaskini.
Hiyo asilimia 30% iliyosalia utakuta ni wahindi, waarabu, wazungu wote wanaojiita Watanzania na pia watoto wa vigogo, nyie wengine wote ni mateso tupu. Na ndio maana mnatusumbua sana kwa kujaza omba omba kwetu hapa, yaani Tanzania ndio nchi pekee yake Afrika ambayo raia wake wanaitoroka na kwenda kuwa omba omba kwenye taifa la jirani, bila aibu.
-------------------------------
The African country of Tanzania has a population of 53 million people, and it is estimated that around 70 percent of its people live in poverty. Although this constitutes a large amount of their population, the economy is improving and poverty is slowly decreasing. In fact, the economy in Tanzania has vastly improved over the last decade, averaging more than 6 percent growth a year. These improvements have come from many changes within the country.



Lete uzi mwingine,
Hama Leo ni slum masters.
Bwa ha ha haaa
 
Kipi bora, kula mnofu wa albino au kuishi nyumba za mabanda kama Tandale. Hebu nenda kwa hii link uone mnavyotukanwa. Nyie mnaishi maisha ya kimaskini na bado mnawakula albino.

Aha haaa
Mara albinos mara ombaomba.
Tulia sehemu moja usiruke ruke.
 
Is is scientifically impossible for the area called kibera to be occupied by more than 200,000 people...

Hio story ya Kibera hua inatumika na NGOs kupata misaada na hela za Bure , this thing has been proven more than once
 
Nairobi slum hub...Mmetisha sana nyang'au, mji umejaa vibanda umiza lakini Ndio mnashinda twitter kutukana wenzenu na kujiona nyie bora!!Shame on you
 
Hahahaa kwa sababu ipo kenya ndo useme inatumika na ngos
Is is scientifically impossible for the area called kibera to be occupied by more than 200,000 people...

Hio story ya Kibera hua inatumika na NGOs kupata misaada na hela za Bure , this thing has been proven more than once
 
Back
Top Bottom