Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
SSC inahitaji point nne kusonga mbele. Je game yake ya home wydad atapoteza ?
Simba atamla Galaxy ?
Simba atamla Asec kwao au ku draw .
Maswali yote hayana majibu
SSC amejisogeza but bado kazi ipo
Game za wengine zitakuaje
Tupe uzoefu….. mnyama ataiona Robo?
Mmesahau yale ya Galaxy pale Taifa chini ya Manula number one , wanasema walikufa madhuluma
Tia neno mdau
Simba atamla Galaxy ?
Simba atamla Asec kwao au ku draw .
Maswali yote hayana majibu
SSC amejisogeza but bado kazi ipo
Game za wengine zitakuaje
Tupe uzoefu….. mnyama ataiona Robo?
Mmesahau yale ya Galaxy pale Taifa chini ya Manula number one , wanasema walikufa madhuluma
Tia neno mdau