Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Hii habari ni faraja kubwa kwa watumiaji wa umeme maana sasa habari za kulala giza kidogo au kwa sana zitapungua maana hata ukiwa Songea safarini utaweza kununua umeme na kuwasha nyumba iliyopo Mwanza. Maana hakutakuwa na haja za kuingiza tokeni ili kuwasha umeme.
Lakini je, hizi mita zitabadilishwa kwa wateja wote? Na kama zitabadilishwe itakuwa bure au kwa gharama?
Lakini je, hizi mita zitabadilishwa kwa wateja wote? Na kama zitabadilishwe itakuwa bure au kwa gharama?