Hii habari ni faraja kubwa kwa watumiaji wa umeme maana sasa habari za kulala giza kidogo au kwa sana zitapungua maana hata ukiwa Songea safarini utaweza kununua umeme na kuwasha nyumba iliyopo Mwanza. Maana hakutakuwa na haja za kuingiza tokeni ili kuwasha umeme.
Lakini je, hizi mita zitabadilishwa kwa wateja wote? Na kama zitabadilishwe itakuwa bure au kwa gharama?
Yakeyale tu hata ukinunua kama voucher unatuma tu namba nyumbani wanaweka na mgumo huu upo hata nchi zilizoendelea sana kama southafrica bado wanatumia voucher na umeme ni wa uhakika sasa sijui kama tunajitambua hv kweli kuna haja gani ya kubadili. Meter wkt umeme wenyewe hauna uhakika shughulika na tatzo kwanz la umeme hakuna aliye lalamika hzo voucher ila watu wanalalamika umeme kukatika sasa hapa ninujinga hapo watu wanapiga pesa za manunuzi zile percent zao unaambiwa mita ni sh 5000 wakt kanunua tsh 2000 badae wanaingiza 3000 ya boss kwa kila.kita js kwa Tz nzima bilioni kama si trilioni ngapi huyu jamaa mpigaji sana.
hizo meter zao mpya zanaitwa wasion zinasumbua sana kuweka token ni ovyooo hata hizo smart meter zitakuwa ovyooo hakuna kitu serikali inaleta kwa wananchi ikawa ni kizuri