Hongereni TANROADS Dar kwa kudhibiti wafanyabiashara ndani ya Stand

Hongereni TANROADS Dar kwa kudhibiti wafanyabiashara ndani ya Stand

Al_Moudah

New Member
Joined
Feb 17, 2023
Posts
1
Reaction score
0
PXL_20230217_092036964.jpg
 
Wamedhibiti wapi?

Hebu njoo hapa stendi ya Mbezi mwisho tule mishikaki na pweza ndio utajua kuwa hizi stand za Dar hazinaga mwenyewe
 
Hiyo picha aliyoweka ni stendi ya daladala Mbezi Mwisho...sema mwamba hajafika hapo ile mida ya jioni
Wachagga wabishi sana ndio maana Magufuli aliwapiga spana

USSR
 
Mtoa uzi eti raia wanauliza hauna namba ya hiyo zebra hapo? Watu bwana!
 
Toa namba ya hiyo Zebra [emoji23] wazee wa kuchungulia hapana hapana bado kiduchu[emoji23] by King kik
 
Back
Top Bottom