Hongereni Tanroads, TARURA na DC Kigamboni kwa kukubali kutuondolea yale matuta pale mnadani

Hongereni Tanroads, TARURA na DC Kigamboni kwa kukubali kutuondolea yale matuta pale mnadani

Watembea kwa miguu wakianza kugongwa usisahau kuja tena hapa kuwalaumu mkuu.
 
Watembea kwa miguu wakianza kugongwa usisahau kuja tena hapa kuwalaumu mkuu.
Kwani siku zote ambapo kulikuwa hakuna matuta MIAKA yote kabla ya juzi palikuwa Hapana watembea miguu?
Tahadhali ni mhimu tu huwezi vuka barabara kama ng'ombe!
Hata hivyo si wataweka matuta mazuri bajeti ikiruhusu
 
Na yale ya pale Gairo daah!! sijui watu huwa wanafikiria nini?!
 
Yale matuta yalikuwa kiboko yani ulikuwa ukikaribia pale kupita paka uyalie timing
Mfano waliokiwa wanatoka vijibweni WALIKUWA wanapita upande wa w kwenye kituo cha mafuta kukwepa tu hayo matuta [emoji23]
Minilikuwa napita kwenye alama za njano lakini wakati wa kurudi hakuna ujaanja inabidi kuya vaatu.
 
TARULA[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Usalama unaanza kwa kuwa makini kwangu mimi binafs na mtumizi wa chombo...Ukiangalia pale mnadani,zebra ipo,ila hakuna anayesimama,hasahasa hawa bajaj mida ya jioni,labda tu awe anataka kupakia abiria...Na hivi matuta yametolewa imeingia dhana kwao kuwa pale ni pa kuteleza tu.
Hata asubui hasimami mtu pale, ukishatoka umechelewa ukiangalia mbele wenzako wanamwaga moto naweweunaungatu hakuna kushangaa, ukisimama wanakupigia honi daah.

Ilenjia asubuhi nikama mashindano hivi kuanzia kibada mbaka darajani.
 
Kweli kabisa!Yani pale panahtajka tuta moja la ukwel,sio vimbilimbi,na mnadani katkat pawekwe taa moja ya ukweli
 
Hata asubui hasimami mtu pale, ukishatoka umechelewa ukiangalia mbele wenzako wanamwaga moto naweweunaungatu hakuna kushangaa, ukisimama wanakupigia honi daah.

Ilenjia asubuhi nikama mashindano hivi kuanzia kibada mbaka darajani.
Wanawahi folen darajan
 
Back
Top Bottom