Uchaguzi 2020 Hongereni Tume ya Taifa ya Uchaguzi

Uchaguzi 2020 Hongereni Tume ya Taifa ya Uchaguzi

Kuna mimbulula inapata miambili kutoka chama tawala iko radhi kuuwa watu ilimradi waendelee kufaidika wao, uwo sio uzalendo ni ujinga tena ni ujinga uliokithiri!!!
 
Mimi swali langu langu moja tu mtoa mada.

Kura huwa zinaibiwa wapi?
 
Habari ya Jumapili mabibi na mabwana, niende moja kwa moja kwenye kichwa cha habari!

Kwanza nashukuru Mungu kwa uhai kwangu kwako pia mpaka unasoma ujumbe huu naamini upo vzr, pia niwape pole kwa wenye changamoto za kiafya.

Mimi Ni raia wa kawaida kabisa, ukweli wagombea wote Wana sababu ya kuchaguliwa na kutokuchaguliwa lakini kutokana na sera zao maamuzi yako binafsi Ni muhimu zaidi.

Sijaona sababu ya tume kulaumiwa kabla na baada ya uchaguzi kwani hawa jamaa wemeweka mfumo ulio wazi na haki.

Kwanza kabisa mawakala wa vyama vyote wapo ambao wanawakilisha kuona namna ya upigaji kura unavyoenda, idadi ya kura zitakazobandikwa, zilizotumwa Kama zinaendana na hesabu aliyoipata mgombea kwa kila kituo halafu mwisho jumla ya kura zote kijimbo mpaka kitaifa.

Kwa sababu hiyo sioni watu KULINDA kura baada ya kupiga, KUGOMEA matokea.

Tusione tunaonewa kiasi hicho, Mara kwa mara nimesikia baadhi ya wagombea wakihamasisha kulinda kura na kugomea matokea.

No.! No! Tubadirike waungwa na tutoe elimu kwa wasiofahamu mtaani kwetu, hakuna sababu ya kupigana mabomu, risasi na uharibifu wa aina yoyote ile.

Big up tume ya uchaguzi Tz kwa kuwa huru na haki!

Mungu ibariki Tz!
Kenge
 
Watanzania Leo Kuna jamaa yangu kaniambia yupo kwenye usimamizi wa uchaguzi

Sasa semina Yao ya siku mbili iliyoanza leo wamepewa 80000/=

Chakushanga maneno waliyoambiwa kwamba presha huku nje ipo kubwa sana kwaiyo ikiwezekana kuua wakala waue tu ili mradi Maghufuri ashinde.

Kwanza walitolewa wote ambao walifatiliwa habari zai zikaonekana zinavinasaba vya upinzani.

Jaman tuweni makini uchaguzi huu ni hatari sana Kuna watu wapo tayari kuwa ili Meko ashinde usimwamini mtu.

Haki huinua TAIFA

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Njooni mniteke na mm
 

Attachments

  • images (5).jpeg
    images (5).jpeg
    28.8 KB · Views: 1
  • 20201023_171057.jpg
    20201023_171057.jpg
    27.3 KB · Views: 1
Habari ya Jumapili mabibi na mabwana, niende moja kwa moja kwenye kichwa cha habari!

Kwanza nashukuru Mungu kwa uhai kwangu kwako pia mpaka unasoma ujumbe huu naamini upo vzr, pia niwape pole kwa wenye changamoto za kiafya.

Mimi Ni raia wa kawaida kabisa, ukweli wagombea wote Wana sababu ya kuchaguliwa na kutokuchaguliwa lakini kutokana na sera zao maamuzi yako binafsi Ni muhimu zaidi.

Sijaona sababu ya tume kulaumiwa kabla na baada ya uchaguzi kwani hawa jamaa wemeweka mfumo ulio wazi na haki.

Kwanza kabisa mawakala wa vyama vyote wapo ambao wanawakilisha kuona namna ya upigaji kura unavyoenda, idadi ya kura zitakazobandikwa, zilizotumwa Kama zinaendana na hesabu aliyoipata mgombea kwa kila kituo halafu mwisho jumla ya kura zote kijimbo mpaka kitaifa.

Kwa sababu hiyo sioni watu KULINDA kura baada ya kupiga, KUGOMEA matokea.

Tusione tunaonewa kiasi hicho, Mara kwa mara nimesikia baadhi ya wagombea wakihamasisha kulinda kura na kugomea matokea.

No.! No! Tubadirike waungwa na tutoe elimu kwa wasiofahamu mtaani kwetu, hakuna sababu ya kupigana mabomu, risasi na uharibifu wa aina yoyote ile.

Big up tume ya uchaguzi Tz kwa kuwa huru na haki!

Mungu ibariki Tz!
Una macho huoni. Una masikio husikii. Je wewe ni mnufaika na uchafuzi huu wa mchakato wa uchaguzi?
 
Watanzania Leo Kuna jamaa yangu kaniambia yupo kwenye usimamizi wa uchaguzi

Sasa semina Yao ya siku mbili iliyoanza leo wamepewa 80000/=

Chakushanga maneno waliyoambiwa kwamba presha huku nje ipo kubwa sana kwaiyo ikiwezekana kuua wakala waue tu ili mradi Maghufuri ashinde.

Kwanza walitolewa wote ambao walifatiliwa habari zai zikaonekana zinavinasaba vya upinzani.

Jaman tuweni makini uchaguzi huu ni hatari sana Kuna watu wapo tayari kuwa ili Meko ashinde usimwamini mtu.

Haki huinua TAIFA

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Ndo nilosema, ppl will kill for mia2 ili bwanaa apite
 
Ccm hovyo kabisa, hata sasa tunsona upendeleo wa wazi kwa ccm kutoka vyombo vya dola ikiwemo nec
Hata Mimi mwanzo nilikua naamin hivyo lkn nimekaa chini nimefuatilia nikajifunza, nec kwa asilimia kubwa ipo neutral, na hata ikitaka ku favour let say TLP bado vigezo na taratibu zitawabana wao wenyw.

Kura zinapigwa chin ya uangaliz wa pande zote, zinahesabiwa chin ya uangaliz, zinabandikwa chin ya uangaliz/wakala n.k
Then total inakua wazi Sana maana hata mtoto wa darasa la tatu anaweza kupata total of ya vituo vyote, jimbo mpaka jumla ya kura ki taifa.
 
Mimi swali langu langu moja tu mtoa mada.

Kura huwa zinaibiwa wapi?
Huwezi kuiba kura hata siku moja, labda mawakala waamue kuuza haki ya mgombea wake.
 
Huwezi kuiba kura hata siku moja, labda mawakala waamue kuuza haki ya mgombea wake.
Najaribu kuwaza kura zinapoibiwa vituoni........maana baada ya kumalizika kwa zoezi la kupiga kura.

Kura huhesabiwa na matokeo kubandikwa kituoni.

Labda kwenye kuzijumlisha zote.. ....lakini hapa hapana mahusiano na kulinda kura....

Kujumlisha mara nyingi kuna fanyika siku moja baada ya uchaguzi.

Kwani vyama havina taratibu za kukusanya matokeo ya nakala za vituo vyote? Nauliza tu kama mjinga.
 
Una macho huoni. Una masikio husikii. Je wewe ni mnufaika na uchafuzi huu wa mchakato wa uchaguzi?
Hapana, Mimi Ni kijana dereva bodaboda, nimehitimu chuo miaka kadhaa iliyopita.

Sijawahi kunufaika na hayo Mambo, ila tu najaribu ku share elimu ili kupunguza lawama za wazi kwa serikal yetu na nec.

Ushuhuda, Jana nilikutana na wakala wa chama kimoja, nikawa namuuliza kazi yake na utaratibu mzima wa upigaj kura mpaka kutangaz, then nikauliza wataalamu wakaniongezea uelewa ndo maana nimekuja na mada hii.
 
Habari ya Jumapili mabibi na mabwana, niende moja kwa moja kwenye kichwa cha habari!

Kwanza nashukuru Mungu kwa uhai kwangu kwako pia mpaka unasoma ujumbe huu naamini upo vzr, pia niwape pole kwa wenye changamoto za kiafya.

Mimi Ni raia wa kawaida kabisa, ukweli wagombea wote Wana sababu ya kuchaguliwa na kutokuchaguliwa lakini kutokana na sera zao maamuzi yako binafsi Ni muhimu zaidi.

Sijaona sababu ya tume kulaumiwa kabla na baada ya uchaguzi kwani hawa jamaa wemeweka mfumo ulio wazi na haki.

Kwanza kabisa mawakala wa vyama vyote wapo ambao wanawakilisha kuona namna ya upigaji kura unavyoenda, idadi ya kura zitakazobandikwa, zilizotumwa Kama zinaendana na hesabu aliyoipata mgombea kwa kila kituo halafu mwisho jumla ya kura zote kijimbo mpaka kitaifa.

Kwa sababu hiyo sioni watu KULINDA kura baada ya kupiga, KUGOMEA matokea.

Tusione tunaonewa kiasi hicho, Mara kwa mara nimesikia baadhi ya wagombea wakihamasisha kulinda kura na kugomea matokea.

No.! No! Tubadilike waungwa na tutoe elimu kwa wasiofahamu mtaani kwetu, hakuna sababu ya kupigana mabomu, risasi na uharibifu wa aina yoyote ile.

Big up tume ya uchaguzi Tz kwa kuwa huru na haki!

Mungu ibariki Tz!
Wewe ni pumbafu kabisa, unasifia tume iliyoengua walgombea kijinga, unasifia tume iliyopitisha wagombea kibao eti wamepita bila kupingwa! Unasifia tume ambayo kucha kutwa inawchimba mikwara wapinzani! Sheikh u me kula maharage ya wapi??
 
Wewe hupaswi kumshukuru mungu kwa kukuweka hai kwani vigezo vyako vyote vya kuwatetea NECCCM Tumeccm na Polisiccm vyombo binafsi vya CCM ni haramu na vya kishetani, hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu anaiamini wala kuipenda NECCCM Tumeccm hata siku moja kwani wameonyesha udhaifu mkubwa kipindi cha kampeni kwa kuingilia kampeni za vyama utazani nao wanagombea ubunge na Urais.

Na kibaya kupita vyote ni NECCCM Tumeccm kuwapitisha wabunge wa CCM kienyeji kwa njia haramu za kishetani kuwa wamepita bila kupingwa wakati wamepigwa lakini rufaa za wapinzani zikatupwa na NECCCM Tumeccm kwa njia za hovyo kwa visingizio visivyo na Tija
Wewe nilisha kushauri hiyo Minyoo yako inaexacerbate ubongo wako tumia Albendazol.

October 28th ni USHINDI WA KISHINDO.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Hapana, Mimi Ni kijana dereva bodaboda, nimehitimu chuo miaka kadhaa iliyopita.

Sijawahi kunufaika na hayo Mambo, ila tu najaribu ku share elimu ili kupunguza lawama za wazi kwa serikal yetu na nec.

Ushuhuda, Jana nilikutana na wakala wa chama kimoja, nikawa namuuliza kazi yake na utaratibu mzima wa upigaj kura mpaka kutangaz, then nikauliza wataalamu wakaniongezea uelewa ndo maana nimekuja na mada hii.
Hawa ndo wale wakitenganishwa mda wa paper anapotea kabisa na kubakia kutafuna kalamu
 
Utopoloy lengine na mia2 zake
Karibu Jamiiforums kijana nadhani utakuwa umemaliza chuo mwaka huu....Mchague JPM sasa anakwenda kulishughulikia tatizo la ajira kwa vijana kwa nguvu kubwa.

October 28th kura zote ni kwa JPM.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Wewe ni pumbafu kabisa, unasifia tume iliyoengua walgombea kijinga, unasifia tume iliyopitisha wagombea kibao eti wamepita bila kupingwa! Unasifia tume ambayo kucha kutwa inawchimba mikwara wapinzani! Sheikh u me kula maharage ya wapi??
Mahera huyo, amekuja kupima upepo.
 
Trinity katika 'Historia' ya Tanzania sijawahi Kuona Tume bora ya 'Uchaguzi' nzuri kama hii ya sasa Yenye 'Mkurugenzi' wake 'Mzanaki' Mwenzangu.
 
Back
Top Bottom