Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Kwanza serikali inahisi imemalza kila kitu mbeya, kilichobaki ni kuishi.Unaposema kufanya kazi kubwa kuelimisha na kuhamasisha huku mapato yao na kodi 'wanazolimwa' kwenye mazao yao yakiwa hayatumiki vyema na halmashauri ni kazi ngumu.
Pia Political fairness ni jambo linaloleta chachu ya maendeleo kwa mji husika, kuwa na mbunge na madiwani wa 'mfukoni' ni ngumu wananchi kuengage na hao wawakilishi wao.
Sahihi kabisaMbeya inajitaji kupimwa upya.
Nani huyo? Sugu?Note: Mbunge asiye wa mfukoni ndiye muhusika wa kipindi kibovu kinachozungumziwa. Amekuwa na maslahi binafsi.
Kwanza Mbeya imeanza kujengwa hovyo kipindi cha Tulia?Unaposema kufanya kazi kubwa kuelimisha na kuhamasisha huku mapato yao na kodi 'wanazolimwa' kwenye mazao yao yakiwa hayatumiki vyema na halmashauri ni kazi ngumu.
Pia Political fairness ni jambo linaloleta chachu ya maendeleo kwa mji husika, kuwa na mbunge na madiwani wa 'mfukoni' ni ngumu wananchi kuengage na hao wawakilishi wao.
Atleast kipindi cha Sugu barabara nyingi ndani ya mji ziliboreshwa, kuanzia block T, ilemi, makongorosi rd, airport nk..ukiacha mipango miji.Kwanza Mbeya imeanza kujengwa hovyo kipindi cha Tulia?
Shida kubwa zaidi kwa Mbeya ni mipango miji na ujenzi holela wa hovyo hovyoAtleast kipindi cha Sugu barabara nyingi ndani ya mji ziliboreshwa, kuanzia block T, ilemi, makongorosi rd, airport nk..ukiacha mipango miji.
Mtu alikuwa na roho mbaya yule.Ni baada ya kuzomewa pale Mwanjelwa kipindi cha uchaguzi.
Mpangilio wa makazi ni wa OVYOOOO. Sijui kama watakuja kubadilika katika hili.Miaka ya 2000 niliishi Jiji la Mbeya eneo la Mbalizi. Nilikaa kwenye jiji lile kwa miaka 4
Humu JF nimekuwa mkosoaji mkubwa wa Jiji la Mbeya Hasa kwa namna lilivyojengwa hovyo na nimekuwa nikisema humu halistahili kuwa jiji
Nimekuwa pia mkosoaji sana wa watu wa Mbeya kwamba sio watu wa maendeleo ila ni watu wanaoendekeza ushamba, ujenzi holela na hawajui kubambania maendeleo ya eneo lao hasa kwenye miradi mikubwa ikiwemo kuacha reli ya SGR kujengwa kwenda Kigoma na Mwanza huku wao TAZARA ikizidi kufa!
Baada ya kuanza kwa Bunge la Bajeti napenda kukiri kwa Mara ya kwanza nimependezwa na namna wabunge wa Mbeya walivyoonekana kuanza kuamka hasa baada ya kuanza kudai upanuzi wa barabara zao kuu na ujenzi wa Barabara bora!
Napenda kuwasihi watani zangu hawa kuwa wasiishie kudai barabara Nzuri tu na bypass, waende mbele zaidi kuzilazimisha halmashauri zao kupanga makazi na kuhakikisha ujenzi wampangilio unaanza kufanyika mkoani kwao!
Ni aibu Green city kujengwa hovyo namna ile sasa wabunge wa Mbeya waanze kulazimisha halmashauri zao kupanga makazi na miji yao! Waelimishemi na wananchi wenu basi wajenge nyumba nzuri na za kisasa!
Hongereni wana Mbeya kwa kuamka! Endeleeni kukomaa mjengewe hizo double road na msiache kukomaa pia utanuzi wa Barabara uanzie Mlima nyoka!
Kwa ujenzi wa nyumba Nzuri na mpangilio wanazidiwa hadi na Wilaya ya ManyoniUko sahihi, nimeishi Mbeya miezi 18 hivi.. kwa kweli ule mji unahitaji kupangwa pamoja na ujenzi wa miundombinu na majengo ya hadhi ya Jiji. Sijajua vigezo vya kuufanya Jiji vilikuwa nini hasa. Kwa muonekano wa miundombinu na upangwaji wa mji, Unazidiwa na Halmashauri za manispaa nyingi tu nchini.
Hakuna lisilowezekana waamke na kuanza kuhamasishana kupanga makazi yao na miji yaoMpangilio wa makazi ni wa OVYOOOO. Sijui kama watakuja kubadilika katika hili.
Hapo mlima nyoka wanampango wa kuchepusha barabara ya malori yanayoenda ZMBIA N. K
Hivi mlitaka Magufuli aje awaelimishe kujenga nyumba nzuri? Kila kitu mnamraumu Magufuli! Hapo Mbeya mambo shagarabagara kitambo jililieni wenyewe hata Samia hatawasaidia kitu nafikiri hali mnaiona hata kwenda Mbeya hajawaza! Mlimrushia mayai mabovu Magufuli basi pambaneni na hali zenu! Mji wa ovyo sana huo!Nakubaliana na wewe!
Alikuwa anajiita Rais wa Mbeya! Nyinyi wana Mbeya maisha hayahitaji ujuaji ni akili na werevu lakino kujiona mnahaha tu hata wa kuwasikiliza hamna ni kama watu wa mkoa wa Kagera ujuaji mwingi Mji hakuna hata stendi ya maana ukifika kama uko wilayani kumbe uko mkoani!Nani huyo? Sugu?
Hawana timeVipi wabunge wa dar. Wameipambania magomeni iliyo katikati ya jiji ikae sawa?
Mbeya kwenye mipango miji na ujenzi wa nyumba bora wanatia aibu sana! Alafu eti linaitwa jiji?Alikuwa anajiita Rais wa Mbeya! Nyinyi wana Mbeya maisha hayahitaji ujuaji ni akili na werevu lakino kujiona mnahaha tu hata wa kuwasikiliza hamna ni kama watu wa mkoa wa Kagera ujuaji mwingi Mji hakuna hata stendi ya maana ukifika kama uko wilayani kumbe uko mkoani!
Mbeya na Kagera ni baba mmoja mama mmoja! Mbwembwe nyingi ila kwao Kama takataka!Alikuwa anajiita Rais wa Mbeya! Nyinyi wana Mbeya maisha hayahitaji ujuaji ni akili na werevu lakino kujiona mnahaha tu hata wa kuwasikiliza hamna ni kama watu wa mkoa wa Kagera ujuaji mwingi Mji hakuna hata stendi ya maana ukifika kama uko wilayani kumbe uko mkoani!
Hapana Arusha, Mwanza na Dodoma iwekeze huko mambo ya kubanana Dar hayana tija! Mfano wilaya ya Temeke watu wanaishi mazingira mabovu ya kutisha kiss uko Dar ukizingatia na lile joshi sasa yaani mpaka huruma!Tanzania nzima hakuna jiji, kuna miji iliyochangamka tu...