Hongereni Wabunge wa Mbeya ila msiishie hapo!

Hongereni Wabunge wa Mbeya ila msiishie hapo!

Mbeya kwenye mipango miji na ujenzi wa nyumba bora wanatia aibu sana! Alafu eti linaitwa jiji?
Unajua Tatizo ni moja vijana wa Mbeya exposure ni ndogo! Wakitembea sana wanaenda boda hapo tunduma! Wakija Dar wanafikia Temeke! Ukifika Mbeya hakuna nyumba Kali za maana hata kando kando ya barabara kuu!
 
Unajua Tatizo ni moja vijana wa Mbeya exposure ni ndogo! Wakitembea sana wanaenda boda hapo tunduma! Wakija Dar wanafikia Temeke! Ukifika Mbeya hakuna nyumba Kali za maana hata kando kando ya barabara kuu!
Umemaliza kila kitu mkuu
 
Mbeya na Kagera ni baba mmoja mama mmoja! Mbwembwe nyingi ila kwao Kama takataka!
Kuna mda nilikuwa nabishana na dogo mmoja wa Mbeya nikamwambia nchi hii wanaume ni Kanda ya ziwa na Kaskazini hata ukifika kwao unaona kazi wanazofanya mfano ukiwa hata pale Himo unaona kabisa kuwa huku kuna wanaume hapo bado hujaingia moshi mjini kati na Arusha ni kama ilivyo Mwanza,kahama na Geita!
 
Kuna mda nilikuwa nabishana na dogo mmoja wa Mbeya nikamwambia nchi hii wanaume ni Kanda ya ziwa na Kaskazini hata ukifika kwao unaona kazi wanazofanya mfano ukiwa hata pale Himo unaona kabisa kuwa huku kuna wanaume hapo bado hujaingia moshi mjini kati na Arusha ni kama ilivyo Mwanza,kahama na Geita!
Watu wa Maendeleo nchi Hii ni Kanda ya Kaskazini tu na sababu kuu ya wao kuwa na maendeleo ni kwamba tu hawaendekezi ushirikina na chuki za kimaendeleo

Wanajua sana kutafuta hela na kutumia hela! Wanajua kujenga nyumba Nzuri na za kisasa Ila nao suala la mipango miji limewatupa kando

Kanda ya ziwa wana hela za mifugo ila nao hawajui kujenga nyumba Nzuri na za kisasa! Wengi wanaojenga kule kiasili ni Waburundi na Wanyarwanda! Shida kuu kwao ni ushirikina ! Penye ushirikina sana Hapana maendeleo
 
Hata hivyo binafsi sijaridhishwa na usanifu wa kitoto wa watu wa Tanroads,Hawa watu huwa nawaoni ni useless kabisa..

Jiji la Mbeya kwa sasa limeshakua na linakua kwa Kasi sana,sasa inakuaje wanaleta usanifu wa njia 4 ambazo haitapita hata miaka 5 zitahitajika kupanuliwa tena?

Kwa nini katikati ya Jiji kuanzia Simike hadi Nanenane wasijenge njia sita ?

Pili kwa nini Dualing ya njia 4 ikomee Ifisi badala ya pale Airport au Songwe Viwandani? Kwani hawaoni kwamba Mbalizi inakua zaidi kuja huku Songwe?

Screenshot_20220408-205429.png


Screenshot_20220408-205554.png
 
Miaka ya 2000 niliishi Jiji la Mbeya eneo la Mbalizi. Nilikaa kwenye jiji lile kwa miaka 4

Humu JF nimekuwa mkosoaji mkubwa wa Jiji la Mbeya Hasa kwa namna lilivyojengwa hovyo na nimekuwa nikisema humu halistahili kuwa jiji

Nimekuwa pia mkosoaji sana wa watu wa Mbeya kwamba sio watu wa maendeleo ila ni watu wanaoendekeza ushamba, ujenzi holela na hawajui kubambania maendeleo ya eneo lao hasa kwenye miradi mikubwa ikiwemo kuacha reli ya SGR kujengwa kwenda Kigoma na Mwanza huku wao TAZARA ikizidi kufa!

Baada ya kuanza kwa Bunge la Bajeti napenda kukiri kwa Mara ya kwanza nimependezwa na namna wabunge wa Mbeya walivyoonekana kuanza kuamka hasa baada ya kuanza kudai upanuzi wa barabara zao kuu na ujenzi wa Barabara bora!

Napenda kuwasihi watani zangu hawa kuwa wasiishie kudai barabara Nzuri tu na bypass, waende mbele zaidi kuzilazimisha halmashauri zao kupanga makazi na kuhakikisha ujenzi wampangilio unaanza kufanyika mkoani kwao!

Ni aibu Green city kujengwa hovyo namna ile sasa wabunge wa Mbeya waanze kulazimisha halmashauri zao kupanga makazi na miji yao! Waelimishemi na wananchi wenu basi wajenge nyumba nzuri na za kisasa!

Hongereni wana Mbeya kwa kuamka! Endeleeni kukomaa mjengewe hizo double road na msiache kukomaa pia utanuzi wa Barabara uanzie Mlima nyoka!
Na wewe acha upuuzi,nani hajengi nyumba za kisasa?
 
Magufuli aliuchukia mkoa kwa sababu zake mwenyewe.
Acha chuki Kwa Magufuli Bila Sababu za msingi mchawi wa maendeleo ni kikwete kisa wananchi kumpiga mawe kule chunya alichukia sana mbeya ila Magufuli alipo ingia alitoa Ahadi ya kuipanua Ile Barabara na kuwezesha ujenzi wa Barabara za kisasa . Kikwete ndiyo alichangia kuhujumu maendeleo Jiji la mbeya plus siasa za upinzani kias zimeathiri
 
Mnatakiwa mfanya kazi kubwa sana kuelimishana na kuhamasishana kujenga nyumba nzuri na bora ! Nendeni mkajifunze hata Manyoni tu Singida wanyaturu walivyoamka na kuanza kujenga nyumba nzuri, bora na za kisasa!

Pia msiache kuhamasisha mipango miji! Kati ya sehemu nilizoishi sehemu ambayo ingependeza zaidi hapa Tanzania endapo pamgepangiliwa kimakazi ni Mkoa wa Mbeya!

Chukueni hatua!
Mbeya watu wanajenga majumba mazuri shida mbeya ni mipango miji wamelala sana kuliko kawaida hata mifumo tu ya maji taka mbeya ni shida kuhusu nyumba zipo kibao za maana tu
 
Uko sahihi, nimeishi Mbeya miezi 18 hivi.. kwa kweli ule mji unahitaji kupangwa pamoja na ujenzi wa miundombinu na majengo ya hadhi ya Jiji. Sijajua vigezo vya kuufanya Jiji vilikuwa nini hasa. Kwa muonekano wa miundombinu na upangwaji wa mji, Unazidiwa na Halmashauri za manispaa nyingi tu nchini.
Mbeya ni population na uchumi mkubwa kwahiyo ilikuwa lazima tu
 
Acha chuki Kwa Magufuli Bila Sababu za msingi mchawi wa maendeleo ni kikwete kisa wananchi kumpiga mawe kule chunya alichukia sana mbeya ila Magufuli alipo ingia alitoa Ahadi ya kuipanua Ile Barabara na kuwezesha ujenzi wa Barabara za kisasa . Kikwete ndiyo alichangia kuhujumu maendeleo Jiji la mbeya plus siasa za upinzani kias zimeathiri
Miaka 6 kwa nini hakujenga?

Hakuna Rais amewahi kuipenda Mbeya labda Samia japo sioni tofauti na watangulizi hadi sasa,mikoa ya Kaskazini,Ziwa,Mashariki na Dom ameenda mara mbili mbili lakini Kusini Hajakanyaga.

Labda alichotusaidia ni kutoa spika,na manaibu Waziri 2 tuu.

Hata hivyo ni kipindi cha JK ndio Mbeya ilipata majengo marefu kwa mara ya kwanza kama NHIF Tower,NHC plaza,CWT nk hao ndio walizindua ujenzi wa majengo marefu..

Hata baada ya Kustaafu JK ameleta UDSM Mbeya na kuwa college pekee ya Afya ya Udsm.
 
Unajua Tatizo ni moja vijana wa Mbeya exposure ni ndogo! Wakitembea sana wanaenda boda hapo tunduma! Wakija Dar wanafikia Temeke! Ukifika Mbeya hakuna nyumba Kali za maana hata kando kando ya barabara kuu!
Acha uongo wewe fala labda tukupe shule ya bure wakaz WA mbeya wanafanya biashara za mitumba wanapeleka zambia,Zimbabwe ,Angola , Botswana na wengine wanafika had south Africa kingine watu mbeya sio hoi hoi Mzee wanapambana na ndiyo maana vijana ukienda mbeya wapo bize kusaka pesa na Wana mafanikio Katika Hilo hukuti mtegemezi kule

Kuhusu miundombinu Hilo sio kosa la wananchi ni kosa la serikali na adui WA maendeleo mbeya ni kikwete watu kibao wanajua Hilo alituhujumu kipind chake
 
Acha uongo wewe fala labda tukupe shule ya bure wakaz WA mbeya wanafanya biashara za mitumba wanapeleka zambia,Zimbabwe ,Angola , Botswana na wengine wanafika had south Africa kingine watu mbeya sio hoi hoi Mzee wanapambana na ndiyo maana vijana ukienda mbeya wapo bize kusaka pesa na Wana mafanikio Katika Hilo hukuti mtegemezi kule

Kuhusu miundombinu Hilo sio kosa la wananchi ni kosa la serikali na adui WA maendeleo mbeya ni kikwete watu kibao wanajua Hilo alituhujumu kipind chake
Hao ni wale wapuuzi waliokariri..Hao waache hivyo hivyo usiwastue ,nimesema kunguru mwingine akisema eti Mbeya hawajengi nyumba za kisasa nikaishia kucheka tuu.
 
Su... ameulaza sana huo mkoa.
Acha uongo wee kenge mjane

Kikwete ndiyo alifanya ujinga kisa chuki zake Kwa watu WA mbeya wenye misimamo thabiti hawajui kulamba matak.ko ya mtu kule
 
Miaka 6 kwa nini hakujenga?

Hakuna Rais amewahi kuipenda Mbeya labda Samia japo sioni tofauti na watangulizi hadi sasa,mikoa ya Kaskazini,Ziwa,Mashariki na Dom ameenda mara mbili mbili lakini Kusini Hajakanyaga.

Labda alichotusaidia ni kutoa spika,na manaibu Waziri 2 tuu.

Hata hivyo ni kipindi cha JK ndio Mbeya ilipata majengo marefu kwa mara ya kwanza kama NHIF Tower,NHC plaza,CWT nk hao ndio walizindua ujenzi wa majengo marefu..

Hata baada ya Kustaafu JK ameleta UDSM Mbeya na kuwa college pekee ya Afya ya Udsm.
hii sio mkweli mkuu rudi vizuri ukachek

Magufuli ndiyo alikuwa mtu wa kwanza kutoa pesa za miradi ya maji ,na hizo Barabara zilishatolewa amri waanze usanifu ili upanuzi wa Barabara kuanzia kule iringa,njombe uje kuungana na huu wa mbeya had tunduma ,kuhusu ziara Magufuli kafanya ziara kule

Kikwete alitubania ujenzi wa pesa za kuwa na bandari kavu pale tazara , ujenzi wa chuo kikuu , wakati Magufuli alitoa kibari Cha chuo kikuu kujengwa Cha UDSM kupitia Magufuli aliwatafutia eneo kule songwe karibu na uwanja wa airport kunaitwa Mwashiwawala Mbeya

Zote hizo ni jitihada zake unasemaje hakuipenda mbeya . Haya Katoa fungu la kutosha kukamilisha ujenzi wa mbeya chunya na kuunga tabora

Kaongeza majengo ya kisasa pale rufaa na kutanua pia hospitali ya mkoa Bila kusahau chuo Cha CBE kupewa fungu la pesa na walipewa eneo kule iganzo juu kama unaelekea kawaletele

Kuhusu ujenzi wa Barabara zile za kule sai ,rrm had machinjion kama unaenda makaburi ya mlima James pesa Ile nani katoa , ujenzi ule wa Barabara had mwambene ,inaenda kule teku . Kuna usanifu wa Barabara kupitia tarula mfano airport tu nazareti na kupanua vituo vya afya


Bila kusahau hakutaka wafanyabiashara wasumbuliwe .
 
Back
Top Bottom