Hongereni Wabunge wa Mbeya ila msiishie hapo!

Amka toka usingizini!

Mbeya ndo sehemu iliyojengwa hovyo zaidi ikifuatiwa na Mwanza na Dsm

Saivi Arusha nayo inaelekea kule kule
 
Kama reference yako ni Mbalizi basi unapaswa kupimwa mkojo. Maana Mbalizi ni Mbeya vijijini. Kwa upande mwingine inafurahisha kuipima Mb vijijini na hiyo miji yako mingine.
Kwa iyo Mbalizi haipo mbeya?
 
Unaota wewe jamaa,huo u hovyo ni upi?
Kuna thread zaidi ya 3 humu jamvini waneleta watu 3 tofauti kuhusu ujenzi wa hovyo wa Mbeya!

Wewe unaepinga inawezekana ukawa hujui ujenzi wa kisasa au wa kimpangilio ni nini?

Nakusaidia, nenda Ilazo Dodoma tembea Ilazo yote utajua maana ya ujenzi wa kisasa na wa kimpangilio ukoje?
 
Mada ni Mbeya yote ndo mana imesemwa Wabunge wa Mbeya
Basi umepandanisha mambo! Mara jiji limepangiliwa ovyo! Wabunge wa Mbeya.
Ulipaswa uzungumzie mkoa wa Mbeya. Hapo ungekutana na Rungwe mji wa aina yake Tanzania. Unakutana na misosi ya ukweli, kijani yote. Ndizi zote mia. Sasa wewe umeenda kuishi Mbalizi unaleta story za jiji la Mbeya.
 
Sawa
Ila Rungwe nako zaidi ya hali ya hewa nzuri Ila nyumba bado za hovyo
 
Tatizo watani zangu ni ubishi tu.
 
Umeichambua vizuri mkuu.
Pia Jiji Wangefanya utaratibu wa kupima yale mashamba pale Uyole watu wanunue wajenge majengo. Watu wa Kilimo Uyole wakaanzishe mashamba darasa nje ya mji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…