Hongereni Wizara ya Mambo ya Nje. Sasa mnafanya mambo kisasa kweli!

Hongereni Wizara ya Mambo ya Nje. Sasa mnafanya mambo kisasa kweli!

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Namna nchi inavyojibrand kwenye masuala ya Kimataifa ni jambo la muhimu sana. Sio tu inatengeneza picha nzuri juu ya hiyo nchi kwa wageni ila inawafanya wageni waamini kuwa wanajihusisha na mtu / nchi makini sana

Hivi karibuni nimetokea kuvutiwa sana na namna Wizara ya Mambo ya Nje wamekuwa wakiratibu matukio ya Kimataifa yanayofanyika nchini. Kweli wanaratibu vizuri. Kuanzia mpangilio wa maeneo ya mikutano hadi kiitifaki.

Hongera kweli. This is how Tanzania should be branded siku zote

Kuna muda fulani hapo nyuma kusema kweli mpangilio na itifaki katika haya mambo zilikuwa zinafanywa kishamba sana. Hata picha hazikuwa zinapendeza
20230726_162951.jpg
20230726_162945.jpg
20230726_162938.jpg
20230726_162733.jpg
20230726_162620.jpg
 
Hata usingemjibu. Akili za kimaskini zinawazaga ujinga tu
Hata usingemjibu. Akili za kimaskini zinawazaga ujinga tu
Hapana mwenyewe sikubaliani na serikali hii mambo mengi lakini wakifanya jambo jema lazima nitoe pongezi pia kumwelimisha mtu siyo vibaya sababu Dar hakuna mashamba hivyo mkulima ataleta mazao yake yatapata soko zuri .
 
Kama italeta mahela kdg wala hatuna neno, ila km ni urembo tu ni sawa pia, hatuna la kufanya.
 
Back
Top Bottom