Hongereni wote mliobaki Dar es Salaam hadi tarehe 01/07/2017.

Dah kweli aiseee...ila kuna punga limekatiza hapa nalo linashangilia kuwa ni janeume...sasa niko njia panda
 
[emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1] nguo hazibani tena.
Mimi sikugawa suruali zangu ingawa zinapwaya nimefunga pini kwa nyuma lakini sitoki hapa
 
Kutoka hatutoki ila vile vitambi vyetu vya kufutia smati foni wakati tunaongea na watu ndo havipo tenaa[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Wanaume tupo hata wale injin nyuma njoon hapa na nyie zaman mlikuwaga wanaume
 
Leo ni tarehe 01/07/2017 nawakumbusha ile kauli "atakaefika tarehe 01/07/2017 Dar, yeye ni mwanaume"
Hongereni wote ni wanaume sasa.
Watu wanajua kukomaa. Alikuwepo BWM akafanya yake na kuondoka watu wapo tu, akaja Jk na mambo yake kisha akawaacha wapo, huyu JPM naye ataondoka watu wapo tu...
 
Atoki mtu tutabanana hapahapa
Vile viofa vyenu vimepungua siku hizi. Mjini pazito, kwa wasiokuwa na kazi za kuaminika. Kwa waliotegemea "grant" kutoka kwa wanene, sasa hivi jasho linawatoka.
 
Atoki mtu tutabanana hapahapa
Yeye ndio ametukuta sisi hapa Mzizima city. Alipokuja kutoka bara chapa ng'ombe sisi tulishajikita na dili zetu day to day. Mwambieni hatuhami. Ila yeye ndio atang'oka apende asipende
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kutoka hatutoki ila vile vitambi vyetu vya kufutia smati foni wakati tunaongea na watu ndo havipo tenaa[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Yeye ndio ametukuta sisi hapa Mzizima city. Alipokuja kutoka bara chapa ng'ombe sisi tulishajikita na dili zetu day to day. Mwambieni hatuhami. Ila yeye ndio atang'oka apende asipende
[emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…