Hongereni Yanga 2021-22

Kitimoto

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2012
Posts
6,941
Reaction score
7,808
Nawapa ongera Utopolo kuweza kufanya vizuri kwa msimu huu wa ligi.

Mlikuwa na vizingiti vingi kwa awamu ya 5 ambapo sisi tulitamba tutabeba ubingwa mfulilizo kwa miaka 10 sababu tuliamini tutaendelea kushika atamu kwenye uongozi kwa Mbunge wa Ruangwa na Mhe. Makinda lakini yalikuwa machukizo kwa Mungu.

Watani ongereni sana sababu leo tulitegemea tofauti lakini imekuwa kinyume

 

Attachments

  • yusuphmkule_~tv~Ccs4_urqQXq~1.mp4
    1.2 MB
Nawapa ongera Utopolo kuweza kufanya vizuri kwa msimu huu wa ligi.

Mlikuwa na vizingiti vingi kwa awamu ya 5 ambapo sisi tulitamba tutabeba ubingwa mfulilizo kwa miaka 10 sababu tuliamini...
Kweli una kiwewe mpaka unakosea kuandika heading
 
MAKOLO nyerere alianzisha memkwa ......
Nyie mlikuwa mnaogopa umande ......ona Sasa hata kuandika kiswahili kinawashinda[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kiswahili cha hali ya chini sana. Eti 'ongera'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…