fcuk.kkj
Nawapongeza watani kwa kuchukua ndoo mwaka huu
Mmejitahidi sana kucheza mpira na kutumia wallet kununua mechi
Ila niwakumbushe tu kuwa nyie ni wa "HAPAHAPA" tu...Huko mnaenda kupoteza hela za Kanjibhai
Ni bora mara kumi mngeamua kubaki tu hapa tucheze huku Mchangani kwa sababu hamuwezi kufika popote
Tunatengeneza timu na tunakuja kuchukua nafasi yetu
cc Makoye Matale grafani sembo nifah mkolaj Bantu lady Amavubi
Nawapongeza watani kwa kuchukua ndoo mwaka huu
Mmejitahidi sana kucheza mpira na kutumia wallet kununua mechi
Ila niwakumbushe tu kuwa nyie ni wa "HAPAHAPA" tu...Huko mnaenda kupoteza hela za Kanjibhai
Ni bora mara kumi mngeamua kubaki tu hapa tucheze huku Mchangani kwa sababu hamuwezi kufika popote
Tunatengeneza timu na tunakuja kuchukua nafasi yetu
cc Makoye Matale grafani sembo nifah mkolaj Bantu lady Amavubi