Elections 2010 HONGO DAKIKA ZA MWISHO - Salakana Moshi

Elections 2010 HONGO DAKIKA ZA MWISHO - Salakana Moshi

Eeka Mangi

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2008
Posts
3,173
Reaction score
482
Naaam leo hii,,, leo jioni Mgombea wa ubunge Moshi Mjini ndugu Salakana amepita kwenye baadhi ya maofisi na kugawa fedha. Mojawapo ni kampuni maarufu ya utalii hapa Moshi. Taarifa za ndani ya ofisi hiyo zinasema kuwa walipewa shs 2000 kila mmoja ila jamaa mmoja cha pombe aliyeanza kuongea pumba kwa mgombea huyo alipewa msimbazi moja. Sasa jamaa kahamia Njoro na Majengo ananunua mbege na dadii zote kwa wanywaji wote. Amini usiamini hafui dafu. Pia habari za sasa hivi mgombea mmoja wa udiwani ndg mangia amefunguliwa kesi ya kushambulia kwenye kituo cha kati cha polisi kwa kumshambulia kiongozi mmoja wa Chadema.
CCM bye bye Moshi hawakubaliki. Kesho naja na za JK moshi maana anakuja tena huku.
 
Ndo za ccm dk za mwisho huwa huwa rubuni maskini watanzania kwa ajili ya maslahi ya wachache
 
Back
Top Bottom