geofmwemezi
Member
- Mar 21, 2013
- 12
- 1
hons ni mhitimu wa university aliyepata first class yenye background ya kutoshuka GPA kila mwaka Bila kuwa na historia ya supplimentary yeyote.
Si lazzima uwe na first class..unaweza kuwa na gentleman lakn GPA yako ilikuwa inapanda