Yes it's trueHa ha ha! Kama nakuona vile.
Omerta, ukisoma vitabu vya Mario Puzzo story za Mafia utakutana na hili neno, wanaiita Code of Silence.
Vitabu kama The Godfather, Omerta, Fools Die, The Sicilian, The Last Don etc
Ha ha ha! Kama nakuona vile.
Omerta, ukisoma vitabu vya Mario Puzzo story za Mafia utakutana na hili neno, wanaiita Code of Silence.
Vitabu kama The Godfather, Omerta, Fools Die, The Sicilian, The Last Don etc
Pili hebu shuka mwisho kabisa wa hii thread, utaona orodha ya threads zilizopo chini ya title SIMILAR THREADS
Sasa hiki ndo ulitakiwa kumjibu mleta mada right away, ama kumtajia majina ya hospitals kabisa moja kwa moja. Huo ndiyo utamaduni wetu hapa JF.
Mtu ana shida alafu wewe fasta unakimbilia kumvuta PM. Unataka kuficha nini huko uchochoroni? Halafu imagine kila mada humu JF watu wawe wanapewa majibu huko PM, itakuwaje? JF Motto: "Where We Dare To Talk Openly".
Alafu don't think kwamba kila mleta mada humu yupo very familiar with all JF particulars ajue SIMILAR THREADS zilipo.
By the way, hata hizo 'similar threads' wakati mwingine zinakuwa helpless coz juzi sio leo, mwaka jana sio mwaka huu. Things change. Things get updated kila kukicha. Pengine labda leo hii kuna vipimo vya hormones ambavyo ni more advanced kuliko facilities za mwaka jana. Au yawezekana leo hii kuna hospitals fulani za kisasa zaidi kuhusu hormones kuliko hospitals za toka mwaka juzi.
Mfano: Mtu anayeleta uzi humu JF leo hii mwaka 2016 kuulizia treatment ya Hepatitis B/C, atapata majibu tofauti na yule aliyeleta uzi humu JF mwaka 2005 on the same Hepatitis B/C. Mambo yanabadilika sana. Jitahidi kumjibu mtu as per the current moment/happenings. Kama jibu unalo, basi msaidie mtu instantly, na sio kumuambia eti akasome similar threads.
The bottom line is... unapoweka useful information hapa publicly, unakuwa umesaidia na wasomaji wengine wenye the same need.
Hopefully you get my point!
-Kaveli-
Ha ha ha! Kama nakuona vile.
Omerta, ukisoma vitabu vya Mario Puzzo story za Mafia utakutana na hili neno, wanaiita Code of Silence.
Vitabu kama The Godfather, Omerta, Fools Die, The Sicilian, The Last Don etc
Daaah Mkuu, sie wa uswazi na novel/movie... wapi na wapi !
Sie tueleze majina ya wacheza ndondo za mchangani ndo tutaenda sawa.
-Kaveli-
Uswazi mbona ndo kwenye movie za ukweli!
Kina Komando Rambo, Anodi Swaziniga, Komando Kipensi, Jet Li, Jaki Sheni na Baba lao Bruce Lee si ndo maarufu Uswazi?
Achana na hizi movie siku hizi madogo wanaenda kuangalia huku wanatafuna bisi hafu hata kama movie ni mbaya eti anasema "Oooh my gosh, it's a nice movie!", kumba anaona aibu kusema ukweli.
Kidooogo movies za Jason Bourne huwa tunanata na beat.
-Kaveli-
Nilianzaga utaratibu wa kusoma Novel ambazo zina movie na ku-relate na movie husika, mara nyingi sana nimekuwa naona movie ziko watered sana ukilinganisha na novel husika.
Mfano ukisoma novel za hii series ya Jason Bourne utaona jamaa walivyoichakachua movie, yaani novel ni kali mara hata tatu ya movie yenyewe!
'Alpha, Bravo, Cain, Delta ... Cain is for Carlos and Delta is for Cain.'
Jaribu man, ni nzuri kweli kupitia baadhi ya novel hasa kama umeshaiona movie, au some novel then angalia movie.
Mkuu, frankly speaking... action movies ndiyo my foremost hobby!
Ila kwenye novel... mmh hapo mtihani kaka. Am very stressed na life, maisha ya uswazi kuungaunga, jua linachwea huna uhakika kesho utaanzia wapi! Hapo nitapata wapi appetite ya kusoma novel. hahahaa.
May be in future nikishapata 'maisha' , I will develop passion for Novel.
Cheers bro.
-Kaveli-