Mwili wa binadamu una hormones nyingi sana zikiwa na kazi mbali mbali...na hivyo sababu zake za kuwa nyingi au kidogo ni tofauti pia, na hii inategemea na hormone husika inatengenezwa sehemu gani ya mwili.
Kila hormone ina range ya kiasi chake cha kawaida kwenye mwili ili kuweza kutimiza effect husika (ni vigumu kiwango cha 800 unachoongelea ni kwa hormone gani). Lakini kutokana na hali au matatizo fulani, hormone hiyo inaweza ikawa nyingi kupita range ya kiasi kinachoptakiwa, au chache chini ya kiasi kinachotakiwa! Ikiwa nyingi husababisha overactivity ya system husika, na ikiwa kidogo basi underactivity, na hayo yote ni matatizo.
Sababu tofauti kutokana na sehemu inayozalishwa hormone hiyo zinaweza kusababisha kuzalishwa kwa wingi...mfano kansa ya kiungo kinachozalisha hiyo hormone (mfano adrenal tumor, pituitary tumor etc), lakini pia kuna magonjwa au uvimbe mwingine ukasababisha kuzalishwa kwa kiasi kidogo cha hormones (mfano ovarian tumor).
Ni rahisi kama ungekuwa specific unaongelea hormone gani ili kuweza kufahamu sababu specific zinazosababisha hormone hiyo ipungue au iongezeke mwilini!
Asante DR. ninaishi na mdogo wangu kila siku alikuwa ananielezea sijui anajisikiaje mwili wake unachemka yaani maelezo mengine sikumuelewa nikampeleka hospital akapimwa kila kitu ila kabla ya majibu dr. akaniita pembeni akaniambia huyu ni nai wako nikamweleza, akaniuliza ni muhuni nikamjibu hapana, akaniambia ana hormons nyingi sana ni mtu ambaye hawezi kupitisha siku moja bila kulala na mwanaume ana hormons kiwango cha 800 na zinachemka sana na zinazidi kuongezeka ndo zinafanya ajisikie mwili kuchemka na mambo mengine. Nadhani nimejitahidi kujibu, Kuna jinsi naweza kumsaidia kwa njia za kidaktari labda dawa na ni nini kinasababisha? maana Dr. ameniambia amezaliwa hivyo hivyo hamna kilichosababisha. Nataka kumsaidia kwa sababu bado ni mwanafunzi inaniumiza sana.
Asante DR. ninaishi na mdogo wangu kila siku alikuwa ananielezea sijui anajisikiaje mwili wake unachemka yaani maelezo mengine sikumuelewa nikampeleka hospital akapimwa kila kitu ila kabla ya majibu dr. akaniita pembeni akaniambia huyu ni nai wako nikamweleza, akaniuliza ni muhuni nikamjibu hapana, akaniambia ana hormons nyingi sana ni mtu ambaye hawezi kupitisha siku moja bila kulala na mwanaume ana hormons kiwango cha 800 na zinachemka sana na zinazidi kuongezeka ndo zinafanya ajisikie mwili kuchemka na mambo mengine. Nadhani nimejitahidi kujibu, Kuna jinsi naweza kumsaidia kwa njia za kidaktari labda dawa na ni nini kinasababisha? maana Dr. ameniambia amezaliwa hivyo hivyo hamna kilichosababisha. Nataka kumsaidia kwa sababu bado ni mwanafunzi inaniumiza sana.