Sahihi kabisa ndg. Mwerevu.Ndio mnavuo waza? Forum imevamiwa na wapumbavu sana si bure tunaamua kukaaa kimya, Wapumbabu ni wengi humu kulio wanao jitambua, ni tofauti na enzi hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisa ndg. Mwerevu.Ndio mnavuo waza? Forum imevamiwa na wapumbavu sana si bure tunaamua kukaaa kimya, Wapumbabu ni wengi humu kulio wanao jitambua, ni tofauti na enzi hizo
They don't Walk The talk.Inaelekea motivational speakers hawathaminiki Tanzania wakati huko dunianai wanalipwa ghali sana.
Unataka nini? Hii forum ni ya kutoa elimu sotuache kwa sababu hamfurahii? unataka post za kukufurahisha wewe? Ukiona post haikuvutiii achana nayo au anzisha yako ya kukufurahisha.They don't Walk The talk.
Jamiiforum wananilipa unatakaje?Inaelekea motivational speakers hawathaminiki Tanzania wakati huko dunianai wanalipwa ghali sana.
wewe ni mkulima au uko humu kupondea juhudi za wenzako.Baada ya Vanilla Sasa ni muda wa Horned Melon
Ninefuatilia post zako naona umejawa na negativities nyingi sana,shida nini akiwa Motivation spiker? Unaelekea kuwa mchawi kwa sababu hatua zingine usha vuka kama unafiki,wivu na nyinginezo.Asante Motivational speaker.
Wala hujakosea,Mimi Ni mchawi na wewe ndio yule mke wangu ambae hua tunapaa wote usiku.Ninefuatilia post zako naona umejawa na negativities nyingi sana,shida nini akiwa Motivation spiker? Unaelekea kuwa mchawi kwa sababu hatua zingine usha vuka kama unafiki,wivu na nyinginezo.
Nalima kipururu.wewe ni mkulima au uko humu kupondea juhudi za wenzako.
Unajua kujipanikisha.Unataka nini? Hii forum ni ya kutoa elimu sotuache kwa sababu hamfurahii? unataka post za kukufurahisha wewe? Ukiona post haikuvutiii achana nayo au anzisha yako ya kukufurahisha.
Tanzania tuna fursa nyingi sana ila basi tu. Tumelala. Tuna uwezo wa ku-contribute kuilisha dunia kwa asilimia kubwa. Tungefanya kilimo kiwe ndicho ''mafuta'' yetu kama waarabu walivyofanya, tungefika mbali. Na uzuri ni kuwa kilimo hakihitaji utaalam na capital kubwa.Wajinga kama nyie huwa hamkosekanagi humu,