Horned Melon(Kiwano) tunda la biashara na biashara, ila hatujui

They don't Walk The talk.
Unataka nini? Hii forum ni ya kutoa elimu sotuache kwa sababu hamfurahii? unataka post za kukufurahisha wewe? Ukiona post haikuvutiii achana nayo au anzisha yako ya kukufurahisha.
 
Asante Motivational speaker.
Ninefuatilia post zako naona umejawa na negativities nyingi sana,shida nini akiwa Motivation spiker? Unaelekea kuwa mchawi kwa sababu hatua zingine usha vuka kama unafiki,wivu na nyinginezo.
 
Ninefuatilia post zako naona umejawa na negativities nyingi sana,shida nini akiwa Motivation spiker? Unaelekea kuwa mchawi kwa sababu hatua zingine usha vuka kama unafiki,wivu na nyinginezo.
Wala hujakosea,Mimi Ni mchawi na wewe ndio yule mke wangu ambae hua tunapaa wote usiku.
 
Unataka nini? Hii forum ni ya kutoa elimu sotuache kwa sababu hamfurahii? unataka post za kukufurahisha wewe? Ukiona post haikuvutiii achana nayo au anzisha yako ya kukufurahisha.
Unajua kujipanikisha.
 
Wajinga kama nyie huwa hamkosekanagi humu,
Tanzania tuna fursa nyingi sana ila basi tu. Tumelala. Tuna uwezo wa ku-contribute kuilisha dunia kwa asilimia kubwa. Tungefanya kilimo kiwe ndicho ''mafuta'' yetu kama waarabu walivyofanya, tungefika mbali. Na uzuri ni kuwa kilimo hakihitaji utaalam na capital kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…