Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Daikka hizi za mwanzo kabisa zinanifanya niamini hawa Horoya hawawezi kushinda hii mechi zaidi ya kupoteza tena kwa kufungwa magoli mawili na kuendelea
Makolo hii mechi ni yenu unless Horoya wanabadfilika.
Teyari kimoja.na Nyie Vyura Kesho Najua Mnampiga Mtu si chini ya 3![emoji12]
Munastir atapigwa 3
Kwenye makundi, huwa kuna timu dhaifu(inategeme timu zinazounda kundi), ushindani huanzia kwenye robo fainali.Simba kweny champions league kama Real Madrid akiwa benarbeu utafungwa tu Ata Kwa ngombe kuchinjwa
Kadri muda unavyoenda, hawa jamaa naona wanabadilika, msipokuwa makini wanaweza kuwaotea baoYanga imeshindwa kufika hata hayo makundi tu π π π
π π π Mimi Siyo shabiki wa Simba wala YangaKadri muda unavyoenda, hawa jamaa naona wanabadilika, msipokuwa makini wanaweza kuwaotea bao
Ila linapigwa la 3 huko π π πKadri muda unavyoenda, hawa jamaa naona wanabadilika, msipokuwa makini wanaweza kuwaotea bao
Dakika za mwanzo zilitosha kabisa kuonyesha hii timu sio ya kushinda ugenini.Ila linapigwa la 3 huko π π π
Leo mna magoli mengi tiu hapa.Hao ni mabingwa huko kwao, kuwa na heshima, kama wamezidiwa sema kwa sauti Simba babalao, usione aibu.
Ombeni wapange kikosi cha pili.Sema Raja ni zimwi lile duh!
Sijui ilikuwaje Simba akapigwa na huyo mwarabu Lupaso!πSema Raja ni zimwi lile duh!
Wasipokuwa makini mwarabu wa pili anaweka historia Lupaso hapo kesho.Endeleni kubadilisha maneno, lakini kazi mnayo kwa mwarabu hapo kesho.
Wale Waarabu ni wazuri sio kama hawa mnaocheza nao.Endeleni kubadilisha maneno, lakini kazi mnayo kwa mwarabu hapo kesho.