Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
- #21
Yanga aliofanya kosa kutowafunga Bamako kule kwao. Hawa Monastir sio timu ya kubeza kabisa.Mkitaka kuzima hizi sauti za mnyama zisisikike, kesho mumkimbize mwarabu afe, najua huu ushindi wa Simba leo utakuwa motisha kwenu kesho..